Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Na baddo Mtani. 🀣🀣

Baada ya Vunja bei kuwaffuruga yaani mnatafuta ahueni kila kona. Lol
Jezi zetu Simba ni nzuri, hata ninyi mkiwa pembeni mnazungumza hivyo (kama ambavyo Manara alivyoenda kuchekea chooni baada ya Kapumbu kufunga goli). Jambo la msingi ni kutengeneza vikosi,. Simba tunapasha kikosi, ninyi tafuteni muunganiko, ni miaka minne sasa mnautafuta! πŸ˜‚
 
Nadhani tusubiri ligi ianze, Simba kikosi bila Miquison na Chama Kuna utofauti mkubwa, hata ligi kuu bila hao watu mlikuwa mnakwama. Pia Simba inawachezaji wageni wengi kuliko misimu mitatu ilipita, unasemaje mnapasha kikosi na hakuna mechi ya maana mmefanya?
 
Jamani tuacheni kuwacheka Simba Kwa jezi tuanze kuwacheka Kwa kuchukua ubingwa Kila siku hawachoki?[emoji23][emoji23]kombe lenyewe bayaaa
 
Jamani tuacheni kuwacheka Simba Kwa jezi tuanze kuwacheka Kwa kuchukua ubingwa Kila siku hawachoki?[emoji23][emoji23]kombe lenyewe bayaaa
sasa kama mbaya tusiseme πŸ˜€ πŸ˜€

ubingwa gani ? wakati ubingwa wa msimu huu tumesha chukua
 
sasa kama mbaya tusiseme πŸ˜€ πŸ˜€

ubingwa gani ? wakati ubingwa wa msimu huu tumesha chukua
[emoji23][emoji23]Aaah Mpira Ni jezi bwana mambo ya uwanjani Na maubingwa tuwaachie wao
 
Nadhani siku mbili hizi watakuwa washaanza matangazo.

Mana game yenyewe ni jumapili.
Sawa ngoja tuone maana leo timu ya taifa inacheza pasipo washsbiki hali inayonipa mashaka kuwepo kwa mashabiki kwenye mechi ya jumapili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…