𝐌𝐓𝐀𝐍𝐈 𝐔𝐍𝐀𝐓𝐔𝐀𝐍𝐆𝐔𝐒𝐇𝐀 𝐒𝐀𝐍𝐀
Simba: Andaeni Timu
Yanga: Mtakoma Chama kaondoka
Simba: Andaeni Timu
Yanga: Trh 28 kutakuwa na Suprise
Simba: Andaeni Timu
Yanga: Suprise ni Luis Miquissone.
Simba: Andaeni Timu msije kutulaumu
Yanga: Tumemchukua Msukule.
Simba: Msukule hatacheza andaeni Timu
Yanga: Subiri siku ya Wananchi mtaona.
Simba: Vipi mtani Kapumbu kafanyaje?
Yanga: Tulikuwa tunatest mitambo subiri siku Rivers United ya Nigeria, huwezi umiza wachezaji kwa bonanza.
Simba: Andaeni timu Rivers sio timu ya kitoto!
Yanga: Kocha wenu hana vyeti.
Simba: Jamaa jiandaeni huyu kocha ndio kawatafutia ninyi nafasi hiyo mnayocheza.
Yanga: Tunatoa kozi za Fifa Class A. Tunaye Profesa.
Simba: Mtani umerekebisha makosa ya mechi ya kwanza?!?!
Yanga: sisi tumekodisha Ndege ndio timu ya kwanza
Simba: Mtani, Rivers hao watakufunga tena jamaa washaweka ahadi ya goli 4
Yanga: Hatuongei sasa hivi majibu tarehe 19.
Simba: Haya ngoja tuonee...
Yanga : kwanini aitwa mo rafiki sio simba rafiki?
Simba: mtani hii mambo haitakusaidia focus na timu yako haya[emoji23][emoji23]