Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Haya mnayoongea leo mliongea msimu uliopita mnarudiaa tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] UTO mtasubiri sana
 
Haya mnayoongea leo mliongea msimu uliopita mnarudiaa tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] UTO mtasubiri sana
mkuu hebu tuache kwanza
mie hapa nilipo narudia kutazama tazama lile goli la mayele haliishi hamu
yaani ule mpira baada ya kupata ile pasi ya farid kabla ya kuupiga aliruka kidogo sasa sielewi zile jorginho anapiga kwenye penat yeye aliipiga nje ya box
nikimpata rafiki yangu manula ntamuuliza kama ndo anawekwa tena golini na lile shuti linarudiwa angeweza kudaka????
 
Hahahaa!! Hawa mikia tunaishi nao tu hivyo hivyo.

Hakika na this season ndo maana halisi ya "Return of Champions" inapochukua nafasi yake.
[emoji23][emoji23][emoji23].........@SHADEEYA unapata wapi ujasiti wa kusema RETURN OF CHAMPIONS........The return of Champions from where?????????[emoji23][emoji23][emoji23]
 
ndo mambo mkuu usajili ni kama kamari hata ulaya yapo hayo kuna kupata na kupatwa[emoji1787][emoji1787]
ila niliumia sana tkmaster kuondoka huyu moloko anajitahidi ila naona bado hajafikia uwezo wa tkmaster
Unatukosea Sana heshima wanayanga kusema Tk Master amemzidi uwezo Moloko. Labda kama ulikua huangalii mechi za Yanga mwakajana. Moloko is far much better than Kisinda. Kisinda alikua anajua kukimbia tu na maranyingi mikimbio yake ilikua haina faida. Namaanisha anakimbia mwisho wa siku anakabwa ama anapiga krosi mnazi. Tofauti na Moloko. Fwatilia , hapotezi mpira kizembe, ana speed na mipira ya mwisho haipotei inapelekwa kwa watu husika.... Uliona game na KMC juzi yale mapande aliyokua anamwagiwa Moloko yote anatuliza, anatoa pasi za maana, anafanya mikimbio ya maana. Hapotezi mipira kiboya boya. Kisinda kila mpira akipata alikua anawaza kukimbia tu
 
kwa hyo kwa akili yako unadhani Simba wametolewa moja kwa moja Kama utopolo?.
Simba anakwenda kucheza kombe la shirikisho barani Africa
mnaenda kushiriki kombe la kina namungo na biashara???
hongeren asante kwa taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…