Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

kwa hyo kwa akili yako unadhani Simba wametolewa moja kwa moja Kama utopolo?.
Simba anakwenda kucheza kombe la shirikisho barani Africa
Kweli Mjinga wewe kama jina lako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko ndio mnaenda kuangushiwa kitu kizito zaidi na Mazembe ama Pyramids.
 
Kweli Mjinga wewe kama jina lako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko ndio mnaenda kuangushiwa kitu kizito zaidi na Mazembe ama Pyramids.
acha wakukatane na fundi wao chama yupo huko Rs Berkane
 
kwa hyo kwa akili yako unadhani Simba wametolewa moja kwa moja Kama utopolo?.
Simba anakwenda kucheza kombe la shirikisho barani Africa
Hongereni saaaanaaaaa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],kwa Mkapa atoki mtu,na mtapigwa vipigo haswa mpaka mnyoooke.
 
Kweli Mjinga wewe kama jina lako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko ndio mnaenda kuangushiwa kitu kizito zaidi na Mazembe ama Pyramids.
Sawaa utopolo mpo wapi?.
Kitu usichokijua Simba anaingia makundi ya shirikisho moja kwa moja
 
Hongereni saaaanaaaaa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],kwa Mkapa atoki mtu,na mtapigwa vipigo haswa mpaka mnyoooke.
Bado tunapanda ndege.
Rivers United.nje ndani.
 
Sawaa utopolo mpo wapi?.
Kitu usichokijua Simba anaingia makundi ya shirikisho moja kwa moja
Hiyo sheria ya kuingia makundi shirikisho moja kwa moja umeitoa wapi? Timu zote zilizotolewa champions league hatua hii zinacheza play off kwa kuchezesha droo. Kisha itapigwa mechi ya nyumba na ugrnini. Atakayepita ndio ataenda kwenye hatua ya makundi
 
Bado tunapanda ndege.
Rivers United.nje ndani.
Mkuu kweli wekundu wa msimbaz leo hii mnalilia shirikisho na kujigamba koote kule[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],jana nmefurahi sana..Leo naenda Ofisini kibabe
 
Mkuu kweli wekundu wa msimbaz leo hii mnalilia shirikisho na kujigamba koote kule[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],jana nmefurahi sana..Leo naenda Ofisini kibabe
Mbona shirikisho kuna timu kubwa tu zipo.ni sawa na Europa ligi.
hakuna tulichopoteza
 
Nina uhakika kuwa tutapita NI sawa na kwenda makundi moja kwa moja
 
Nina uhakika kuwa tutapita NI sawa na kwenda makundi moja kwa moja
kwa hiyo mkuu hata mkikutana na rs berkane mna uhakika subutuuuuu
chama anaijua beki ya simba kama anavyokijua kipochi manyoya cha mkewe jiandaeni msichukulie poa
 
hongera sana kwa kijana wetu msuva jana katupia wydad imepiga mtu mara mbili zaidi ya walizopigwa makolo
 
kwa hiyo mkuu hata mkikutana na rs berkane mna uhakika subutuuuuu
chama anaijua beki ya simba kama anavyokijua kipochi manyoya cha mkewe jiandaeni msichukulie poa
Chama alikuwa yule wa Simba tu.
 
Sawaa utopolo mpo wapi?.
Kitu usichokijua Simba anaingia makundi ya shirikisho moja kwa moja
Makundi ya Nyoko?? Kumbe ndio huna akili kiasi hiki???
Ismael Aden Rage hakukosea kuwaita Mbumbumbu. Kumbe hujui hata kuna playoffs [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Achana naye popoma huyo hakuna analoelewa. Akili za ki-mwijaku mwijaku tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…