Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kiungo wa Yanga Khalid Aucho amesema hana tatizo na Yanga na pia anafurahia
"Sina tatizo na klabu ya Yanga, Siendi popote kwa sasa sababu nina mkataba na Yanga SC Pia nina furaha ndani ya Yanga na ninaipenda Yanga" Khalid Aucho
Endelee kujipa moyo kama kwa chama
 
Hebu tuambie vipi kuhusu Carrick, tumpe muda au tuendelee na slogan ya BADO HAJAFUKUZWA TUU [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aende tu maana juzi kabahatisha kwa villareal

Lile benchi lote vilaza tu
 
Mabata yapo kwenye dimbwi lazima yawe na nguvu mana ndiyo sehemu pekee yanapoinjoy!
 
Yaaani ulichotufanyia sio sawa kabisa tumeangaika kipindi cha yanga mbovu halafu plus matusi ya JF πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚sasa hivi doctor (aucho) kapatikana haupo eti
Aisee!! Nimejua kuadimika aiseee πŸ˜€πŸ˜€

Kwema humu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…