Maneno haya ya kashfa ndio yanayofanya wadau tukose uzalendo......yanga ameenda kuwakilisha nchi jiheshimu ndugu.....
HONGERA YANGA.....
Wamewakilisha nchi baada ya kushinda wangefungwa je,?
Toka lini wa matopeni wakawa wazalendo kwa wakimataifa.?
Nyamaza weweeeee....
Ninyamaze kushangilia?
Mungu ibariki Tz,wabariki Dar Young Africa
Nimekuja fasta
Aaah
Nlivo skia wa kimataifa hata sku jiulza
Mwaka huu ndege zotatukoma
Amina amina wapendwa....Chura kwake matopeni tu.!
Nyamaza kuniharibia uzalendo wangu......
HahahaAmina amina wapendwa....Chura kwake matopeni tu.!
Sasa ukiwa mzalendo wa wakimataifa....uzalendo wa matopeni atamwachia nani?
Njooni Jangwani tuwafundishe soka la kimataifa sio kila siku ndondo tu mtakua lini nyie?Wewe kambale mbona unataka kuchafua hali ya hewa....??
Njooni Jangwani tuwafundishe soka la kimataifa sio kila siku ndondo tu mtakua lini nyie?
Nitamwachia niliyempiga tano bila.....
Ha!ha! Unaishi kwenye historia, pole mkuu sisi tunaongelea tulichonacho mkononi....kama vipi kafungue uzi kwenye jukwa la historia tudadavue ipasavyo
tunaogopa mtatufundisha mambo haya.....
Ulicho nacho kipi.....hicho cha kupewa ubingwa na tff...???
Mkuu mimi napita tu, ila huu mchezo kwenu ni utamaduni.