Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Sisi huwa hatuigi vitu visivyokuwa na msingiNdo nanyie muige sa. [emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi huwa hatuigi vitu visivyokuwa na msingiNdo nanyie muige sa. [emoji41]
Hahahaaa. Nimecheka sana. lolSasa ivi hatutaki kuwanusa[emoji16] tunataka kushika usukani
Sisi huwa hatuigi vitu visivyokuwa na msingi
1. Baiskeli ya mabua
Mjiandae kisaikolojiaHahahaaa. Nimecheka sana. lol
Kwa msimu huu hiyo ndo kazi yenu kubwa tumewapatia. Usukani mutausikia tu.
Tushachoka kuwanusa[emoji16]1. Baiskeli ya mabua
2. Mnatushikia nafasi
3. Mnatusindikiza kwenye taji la 5 back to back
Cmn
Yaani mkiandika haya huwa mnasahau kabisa kama sometimes mambo yanabadilika.1. Baiskeli ya mabua
2. Mnatushikia nafasi
3. Mnatusindikiza kwenye taji la 5 back to back
Cmn
Tumeshawanusa vyakutosha aiseeTushachoka kuwanusa[emoji16]
Labda mchukue mabegi ya GSM[emoji28]Yaani mkiandika haya huwa mnasahau kabisa kama huwa sometimes mambo huwa yanabadilika.
Kabla ya hapo jiulize nani alikuwa kinara katika kufululiza kubeba hilo kombe.
Niseme tu this time itabakia kuwa story.
#BingwaNbcleague2021/2022
Salam kutoka Tabora hazijakufikia mamii?Yaani mkiandika haya huwa mnasahau kabisa kama huwa sometimes mambo huwa yanabadilika.
Kabla ya hapo jiulize nani alikuwa kinara katika kufululiza kubeba hilo kombe.
Niseme tu this time itabakia kuwa story.
#BingwaNbcleague2021/2022
Kesho tunafanya bonge la fitna ndo mjue Simba Taifa Kubwa[emoji16]Tumeshawanusa vyakutosha aisee
Warudi kwenye nafasi yao sasa
Anatamani kusema Simba ya msimu huu mbovu[emoji1]Salam kutoka Tabora hazijakufikia mamii?
Akili zikiwaka sawa wanajikuta wenye kombe lao washalitwaaAnatamani kusema Simba ya msimu huu mbovu[emoji1]
Kumbe ndo mumehamia kwenye fitna? Lol.Kesho tunafanya bonge la fitna ndo mjue Simba Taifa Kubwa[emoji16]
Ina uzima gani , au kisa jana mumeona mwezi?Anatamani kusema Simba ya msimu huu mbovu[emoji1]
Kama mlivyofanya nyinyi kule Tabora kupitia yule refa aliyetuzingua kwenye kufanya subKumbe ndo mumehamia kwenye fitna? Lol.
Mukishaamka munikumbushe niwape mswaki. TehAkili zikiwaka sawa wanajikuta wenye kombe lao washalitwaa
Mmezidisha zarauKumbe ndo mumehamia kwenye fitna? Lol.
Sisi kawaida yetu kushindaIna uzima gani , au kisa jana mumeona mwezi?