Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mwenyekiti wa matopeni naskia jana kaomba msamaha

Klab isha ishiwa hyo
 
Ni bora ukutane na chui sita porini wakiwa na njaa kuliko dida akiwa anaokoa penati.....!!!
Watashindana nasi lakini hawatashinda kwa maana sisi ni wakimataifa.....wao ni wa matopeni.........!!!
 
hata wale wa nyumba ya jirani mnakaribishwa kuwapokea mabingwa walau mfike tu airport mkapaone na kuiona ndege inavyotua
 
Hii Yanga imekata break, kila anayekaa njiani inapita naye
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sasa ubishani na mashabiki wa simba naacha

Ni kujishusha hadhi, ntaenda kubishana Congo, Ghana na Morocco
 
Pongezi sana kwa kocha Hans Plujin kwa kutengeneza kikosi cha kutisha na kuwapa nafasi wachezaji wote
 
Ukweli ni kuwa kwa sasa timu hii ni bora sana si tu hapa nchini bali katika ukanda wetu wa Afrika mashariki,ina wachezaji mahiri karibu wawili kwa kila idara,inacheza mpira mzuri na benchi la ufundi bora.

Kasoro nyingi zinazotolewa na watu kuhusu Yanga ni jambo la asili tu; mtu,kampuni au kikundi chochote kinapofanikiwa haters huwa wanaongeza kiwango na vigezo vya mafanikio sasa wataanza kusema ili ithibitishe ubora eti ichukue ubingwa wa shirikisho,haters hawataki kukiri ubora wa Yanga..chuki chuki chuki,

Ukweli ni kuwa kadiri unavyoongeza viwango kwa mtu au kikundi unachokichukia ni sawa tu na kumpiga chura teke,Yanga wanaichukia bure tu, huu ndo muda wake,ooops nilitaka kusahau Yanga pia ina msemaji bora sana kwa sasa Afrika mashariki.
 
Hapo mwisho umekosea..! Mbwabwaji Bora kwa sasa Afrika.
Hongereni kwa ubingwa.!
Mchango wa Muro katika kuhamasisha mashabiki kwa kauli zake ni kubwa sana basi tu hatuuoni kwa macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…