Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Wanaongea sana sijui sababu ya ubingwa.!weka akiba kdg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaongea sana sijui sababu ya ubingwa.!weka akiba kdg
Hahaha hapo umepatia sana.Mchango wa Muro katika kuhamasisha mashabiki kwa kauli zake ni kubwa sana basi tu hatuuoni kwa macho.
walikuwepo akina Sendeu wakapita after all Muro ni misifa zaidi bila kuweka taaluma mbele na ndio maana twamwita wa mipasho tuHahaha hapo umepatia sana.
HA HAAAAA..........Hapo mwisho umekosea..! Mbwabwaji Bora kwa sasa Afrika.
Hongereni kwa ubingwa.!
Inashangaza kuona mashabiki wa yanga wote ni kama wamezaliwa mwaka 2005,yanga kuchukua ubingwa ni jambo la kawaida wenyeviti wote waliopita walifanya hivyo,labda mmesahau yanga iliokuwa na mafanikio ni ile iliocheza makundi ligi ya mabingwa ikaazima wachezaji,lakini si hii ni aibu kupita na kujinasibu hayo ni mafanikio,sasa hapa toka mwenyekiti alipoingia na mkwara wa kuifunga tano simba bado hajafanikiwa mashabiki kuzimia na kulilia wamesubiri mpaka wamekata tamaa na kwenda kushangilia timu,hebu toeni sababu tatu tu za mafanikio ya mwenyekiti tangu achukue timu?
Hayajakuwa majukumu mnaita majukumu yakiwa majukumu mtayaitaje?Subiri wa matopeni wenzio waje hapa ndio mpo level moja kifikra. Kwa sasa tuko bize na majukumu ya kimataifa
mpo bize timu tp mazembe zingekuwa zile za misri ndio ingekuwaje?Haya ni Maneno ya vijiweni ya wanywa kahawa a.k.a wa matopeni au chura. Tupo bize na jinsi ya kuifunga TP Mazembe
Ww Wa matopeni aka chura mafanikio ya yanga yanakuhusu nnInashangaza kuona mashabiki wa yanga wote ni kama wamezaliwa mwaka 2005,yanga kuchukua ubingwa ni jambo la kawaida wenyeviti wote waliopita walifanya hivyo,labda mmesahau yanga iliokuwa na mafanikio ni ile iliocheza makundi ligi ya mabingwa ikaazima wachezaji,lakini si hii ni aibu kupita na kujinasibu hayo ni mafanikio,sasa hapa toka mwenyekiti alipoingia na mkwara wa kuifunga tano simba bado hajafanikiwa mashabiki kuzimia na kulilia wamesubiri mpaka wamekata tamaa na kwenda kushangilia timu,hebu toeni sababu tatu tu za mafanikio ya mwenyekiti tangu achukue timu?
Ni kweli hayanihusu lakini ni faida kwa wa kulialia na wale kuziraiWw Wa matopeni aka chura mafanikio ya yanga yanakuhusu nn
Inashangaza kuona mashabiki wa yanga wote ni kama wamezaliwa mwaka 2005,yanga kuchukua ubingwa ni jambo la kawaida wenyeviti wote waliopita walifanya hivyo,labda mmesahau yanga iliokuwa na mafanikio ni ile iliocheza makundi ligi ya mabingwa ikaazima wachezaji,lakini si hii ni aibu kupita na kujinasibu hayo ni mafanikio,sasa hapa toka mwenyekiti alipoingia na mkwara wa kuifunga tano simba bado hajafanikiwa mashabiki kuzimia na kulilia wamesubiri mpaka wamekata tamaa na kwenda kushangilia timu,hebu toeni sababu tatu tu za mafanikio ya mwenyekiti tangu achukue timu?
A kweli haya ndio mafanikio tangu mwenyekiti aingie yana ni ung'eng'e tu,sema umenikumbusha marehemu saidi mziraiMind ure business ,its not your concern at all
ikiwa aveva anaburuza ,wale waliochoma moto magazeti kwa sababu zisizo na mashiko tuwaitaje?Aveva and his crew wana raha sana maana kama mashabiki wenye ndio uwezo wao huu wa kufikiri hakika wana haki ya kuwaburuza yaani wanaiwaza Yanga kuliko timu yao
Inashangaza kuona mashabiki wa yanga wote ni kama wamezaliwa mwaka 2005,yanga kuchukua ubingwa ni jambo la kawaida wenyeviti wote waliopita walifanya hivyo,labda mmesahau yanga iliokuwa na mafanikio ni ile iliocheza makundi ligi ya mabingwa ikaazima wachezaji,lakini si hii ni aibu kupita na kujinasibu hayo ni mafanikio,sasa hapa toka mwenyekiti alipoingia na mkwara wa kuifunga tano simba bado hajafanikiwa mashabiki kuzimia na kulilia wamesubiri mpaka wamekata tamaa na kwenda kushangilia timu,hebu toeni sababu tatu tu za mafanikio ya mwenyekiti tangu achukue timu?
Kama mnaweza na ujasir mnao muulizeni mwenyekiti mafanikio yako ni yapi?Kwa hiyo wewe unataka wana Yanga wafanyaje?