Nope! Yacouba ni mzuri kumbuka ile nafasi yake anakompiti na tibanzokinza na ambundo.. Kati ya hao kwangu yacouba bado ni bora kwanini? Kwanza ana kasi pia ana akili ya mpira labda tatizo lake kubwa ni kulazimisha kufunga hata kwenye angle ngumu kwa lugha rahisi ana kaubinafsi.. Nazani hii ilichagizwa na ujio wa mayele alihofia kupoteza ustar aliouunda msimu uliopita kumbuka ndo alikua mfungaji bora wa timu..Huyo Yacouba ikibidi aende tu. [emoji41]
Ndicho alichoenda kuwaimbia waarabu wakamtimua... Si unaikumbuka ile singo yake ya Makolo muli mbwanji?? [emoji23][emoji23]Mwimbaji[emoji16]
Itakuwa poa sana.Huu msimu utavaa jezi jifunze kusoma alama za nyakati tena Yanga alivofungwa na Azam tukakosa ubingwa wa mapinduzi itakua ni chachu zaidi kozi sasa hivi presha inazidi kupanda kuliko tungeshinda kombe wachezaji wangebweteka... Sema kocha awape nafasi pia kina ambundo mgushi na bwana mdogo nkane ili kuwepo na ushindani wa namba...
J/pili wakati unatizama mpira uwe na glasi ya maji baada ya mechi kuisha utanishukuru mtani[emoji28]Hatujakata tamaa hata.
Pamoja rafiki mkorofi. 🤝Uyu hapa[emoji2957]
Na Manara inabidi tumbadilishie nambaNope! Yacouba ni mzuri kumbuka ile nafasi yake anakompiti na tibanzokinza na ambundo.. Kati ya hao kwangu yacouba bado ni bora kwanini? Kwanza ana kasi pia ana akili ya mpira labda tatizo lake kubwa ni kulazimisha kufunga hata kwenye angle ngumu kwa lugha rahisi ana kaubinafsi.. Nazani hii ilichagizwa na ujio wa mayele alihofia kupoteza ustar aliouunda msimu uliopita kumbuka ndo alikua mfungaji bora wa timu..
Akishirikishwa na Luc[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndicho alichoenda kuwaimbia waarabu wakamtimua... Si unaikumbuka ile singo yake ya Makolo muli mbwanji?? [emoji23][emoji23]
Usitype uku unatetema[emoji16]Itakuwa poa sana.
Ila tatizo lililopo bana usishangae hao watoto wakaishia kusugua benchi tu.
PoaPamoja rafiki mkorofi. [emoji1666]
[emoji23][emoji23] aya we shupaza ilo shingo...Akishirikishwa na Luc[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji23][emoji23] aya we shupaza ilo shingo...
Na makombe pia tunapata lakini.....Mlishaona mko kwenye kupoteza muelekeo hivyo mkaamua mumrudishe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila sio mbaya mana nakumbuka enzi za Okwi naye, yaani mlishajijenga bila yeye hamuwezi na hii ndo ipo kwa Chama. Wacha ale hela zenu Makolo.
makambovich yaan uto yang inaniumiza kichwa sanaNani tena huyo!?View attachment 2081586
Heri ya mwaka mpya na kwako pia Mama wa UtopoloIla umejua kumisika best.
Kheri ya Mwaka Mpya.
Ha ha ha safari hii wale wazee wa Jangwan watatembeza bakora kuanzia Manara mpka injiniaWaache tu watuzingue mambo ya msimu uliopita hata hatuyataki. [emoji853][emoji853]
Unamchukulia poa YacoubaHuyo Yacouba ikibidi aende tu. [emoji41]
Hivi na Mkataba wake bado ni mrefu kweli?Nope! Yacouba ni mzuri kumbuka ile nafasi yake anakompiti na tibanzokinza na ambundo.. Kati ya hao kwangu yacouba bado ni bora kwanini? Kwanza ana kasi pia ana akili ya mpira labda tatizo lake kubwa ni kulazimisha kufunga hata kwenye angle ngumu kwa lugha rahisi ana kaubinafsi.. Nazani hii ilichagizwa na ujio wa mayele alihofia kupoteza ustar aliouunda msimu uliopita kumbuka ndo alikua mfungaji bora wa timu..
Ile namba lazima tutafute mchezaji mwenye kiwango sanaHivi na Mkataba wake bado ni mrefu kweli?
Au ndo ile mikataba yetu ya miaka miwili miwili na kama ni hivyo atakuwa mbioni kuimaliza.
Mikataba yetu ni ile ile tu ya miaka miwili badae mmoja mmojaHivi na Mkataba wake bado ni mrefu kweli?
Au ndo ile mikataba yetu ya miaka miwili miwili na kama ni hivyo atakuwa mbioni kuimaliza.