Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Asante Sana Kwa kumkumbuka Mwamba huyu. Miezi michacbe nyuma alisikika akisema miongoni mwa mambo yanayomnyima Raha ni kuachwa na timu yenu. Apumzike Kwa Amani beki mwenye kipaji na mapenzi ya kweli Kwa Taifa lake.
πŸ™ Huenda aliipenda kwa dhati Timu ya Wananchi ila ndo hivyo kiwango chake hakikutosha kumshawishi kocha kumbakiza.

Ila ameniuma sana aisee. Mwisho wa siku ni kumuombea tu huku sisi wengine tukiendelea kuitafakari kesho yetu ambayo ni fumbo kubwa sana.
 
Nina imani kubwa tutakuwa mabingwa 2022....Mungu ashatupa kibari amini
 
Ni ujinga mtupu yani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…