Kama hutaki bhaas. 🤣Et nini[emoji1787]
Tulia vevee. 😎Endeleeni na malalamiko sisi bado tuko katika majukumu ya kimataifa[emoji16]
Usajili mpya[emoji16]Tulia vevee. [emoji41]
View attachment 2118963
N d i o.Usajili mpya[emoji16]
Kesho jiandae kisaikolojiaN d i o.
Yaani Biashara United ndo isababishe yote hayo? 🙄Kesho jiandae kisaikolojia
Wote mnafananaYaani Biashara United ndo isababishe yote hayo? [emoji849]
Ooh!Wote mnafanana
Kiukweli huyu dogo Mimi hua simkubali kabisa bora tumtoe kwa mkopo mrefu kwenye timu ambayo atajihakikishia namba kuliko kubaki yanga ataua tu kipaji chake...Huyu dogo huwa ananisitisha [emoji848] hivi asivyopewa nafasi si ndio anazidi kuua soka lake sababu zile game mbili tatu alizopewa nafasi mwanzo alionekana ana kitu.
Wampage nafasi ndo hazina zenyewe hizi kwa Soka la Tanzania.
View attachment 2119755