Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
African Sports 0-1 Yanga
Afadhali, hali ilikuwa tete.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
African Sports 0-1 Yanga
Mnakutana na vibonde subirini mashindano ya kimataifa
Jamani tumtafune mnyama J1 atulie. mji upoe kidogo.
sawa mjomba, nimekubali.Hili sio ombi, ni amri. Tutamchachafya vibaya mnooo
yanga 2 simaba 0 ila mwaka huu tutawasaidia kupata japo nafasi ya pili mana caf washasau kama tanzania kuna timu kubwa inaitwa simba,mnatia aibu sijui mara ya mwisho kimataifa mmeshiriki lin?Kumbe na nyie mna uzi, hakijabadilika kitu, bakora ziko pale pale!
Smba 3-1 Yanga.
Naombea hilo litimie maana daaah!!Jamani tumtafune mnyama J1 atulie. mji upoe kidogo.
Nakuonaga kwenye ule uzi wa series,kumbe ktk soka nawe ni mnazi wa timu ya wananchiNaombea hilo litimie maana daaah!!