Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Aveva and his crew wana raha sana maana kama mashabiki wenye ndio uwezo wao huu wa kufikiri hakika wana haki ya kuwaburuza yaani wanaiwaza Yanga kuliko timu yao
Kuna kiongozi wao aliwaita mbumbumbu, kwahiyo usishangae
 
Huyu jamaa anatia aibu mbona msimbazi hakuko salama hadi dk hii ndo maana Julio anasema wa matopeni wanafikiri kwa kutumia ma......ko
 
upo sahihi mkuu, tim ya yanga kwa sasa ipo vzr sana, ukiangalia ni kila idara imekamilika, kunatatzo 1 tu ninalo liona kwa sasa, hatuna wachezaji chipkizi ambao kama club inapaswa kuwa na mwendelezo, hawa akina ngoma, bouso na wengine wanapita, sasa mgogoro utakuja kwenye kuiendeleza tim,

yanga inapaswa kuwa na wachezaji wengi, na hicho ndicho kilichowakumba simba, walikuwa na tim nzr wakauza, wakaishiwa wachezaji kwa kuwa hawakuwa na chipkizi mwisho wamelala kifo cha mende,

hyo hali pia imezikumba timu kubwa kama man u, chelsea na hata arsenal, maana kwa mfn arsenal walikuwa na tim nzr ila walipouza wachezaji nw dayz wamekuwa wasindikizaji, lile soka la henry, limebaki kitabuni..

nawashauri yanga maana nami ni mshabiki, hasa kocha awe makini, tusije tukawa na mafanikio haya mwakaa huu mwakani tukachemka...

kwa sasa tim iko vzr sitoshangaa kucheza fainal, na kuwa bingwa wa hayo mashindano ya mabingwa wadogo wa afrika..
umeshauri vyema lakini hawapendi kukosolewa uwaandike vizuri tu wamemshukia shafii
 
1 amaejenga professionalism
2amemaliza migogogro ya uongozi ilio dumu miaka mingi
3.Yanga imeendeleea kuwa timu yenye mafanikio Afrika mashariki hakuna Mwaka tulio kosa kikombe
Nukuu: washabiki wa simba ni mambumbumbu by Aden Rage
 
Ahaaa mkuu mtoto lakini anakunyima uzingizi serious, funguka tu kuwa jamaa kwa uhamasishaji wa kiutani wa jadi hajambo, na mtaanza kujificha kukutana nae kama walimu na wanafunzi wa kipindi kileeee, ananipa raha sana kitaani.
WEKA AKIBA YA MANENO
 
1 amaejenga professionalism
2amemaliza migogogro ya uongozi ilio dumu miaka mingi
3.Yanga imeendeleea kuwa timu yenye mafanikio Afrika mashariki hakuna Mwaka tulio kosa kikombe
Nukuu: washabiki wa simba ni mambumbumbu by Aden Rage
mbona hujiamini na mafanikio yako mpaka unatafuta maneno ya kukopa kwa jirani
 
ikiwa aveva anaburuza ,wale waliochoma moto magazeti kwa sababu zisizo na mashiko tuwaitaje?

Narudia tena kwa mashabiki wa aina yako sishangai kuona Simba ikiwa ilivyo maana hata viongozi wenu wanabweteka hawapati changamoto toka kwenu mnashindwa kufanya tathimini ya uongozi wenu mnataka tathimini ya uongozi wa Yanga simply wana haki ya kuwaita MBUMBUMBU,haiwezekani kwenye press conference Aveva anatoa sababu dhaifu kama zile nyie bado mna raha ya kuhoji kuhusu uongozi wa Manji wakati Yanga amefanya kila kitu kilicho bora msimu huu.
Mlivyo sasa mtakomaa kufuatilia mechi za Yanga kombe la shirikisho na kugeuzwa kikundi cha ushangiliaji na wageni mkishtuka msimu umeanza hamjafanya kitu mnaendelea kuburuzwa ni misimu minne and still counting hamsogei mko hapo hapo na mnacheka tu eti Manji kafanya nini instead muulize Aveva na kundi lake wamefanya nini.
 
Narudia tena kwa mashabiki wa aina yako sishangai kuona Simba ikiwa ilivyo maana hata viongozi wenu wanabweteka hawapati changamoto toka kwenu mnashindwa kufanya tathimini ya uongozi wenu mnataka tathimini ya uongozi wa Yanga simply wana haki ya kuwaita MBUMBUMBU,haiwezekani kwenye press conference Aveva anatoa sababu dhaifu kama zile nyie bado mna raha ya kuhoji kuhusu uongozi wa Manji wakati Yanga amefanya kila kitu kilicho bora msimu huu.
Mlivyo sasa mtakomaa kufuatilia mechi za Yanga kombe la shirikisho na kugeuzwa kikundi cha ushangiliaji na wageni mkishtuka msimu umeanza hamjafanya kitu mnaendelea kuburuzwa ni misimu minne and still counting hamsogei mko hapo hapo na mnacheka tu eti Manji kafanya nini instead muulize Aveva na kundi lake wamefanya nini.
Safii umenena mkuu lakini umesahau ni juzi mmechoma magazeti na kumshukia shafii dauda,hapo nani anaburuzwa mpaka mnashindana na magazeti sasa kwa hiyo zile ndio changamoto
 
Hapo kuna lipi jipya miaka minne imekwama kwa waraabu mara ngapi?na kama mafanikio ya juu ni yule alieipeleka makundi ligi ya mabingwa
kumbe akili zako mafanikio unayapima kwa mwaarabu kisa mlipita kibahati kwa matuta,anyway hujaleta mafanikio ya kina ave a na wenzake miaka hiyo minne pole sana
 
mabingwa jumlisha mafanikio mbona mkiulizwa mafanikio mnakuwa na hasira wekeni maneno mengine kwenye kabati
 
JIONEE TOFAUTI: Rais wa Simba ana elimu ya kidato cha NNE na alisoma Kinondoni Muslim na Katibu wao ni form SIX but Mwenyekiti wa Yanga ana Masters ya Havard University na Katibu alikuwa na PhD. Yanga haina kiongozi si tu aliye jela bali hata aliyeshitakiwa kwa kosa lolote la jinai, but Simba wamekuwa na Rage alifungwa kwa wizi, Hanspope alifungwa kwa uhaini, Hasanoo alifungwa kwa meno ya tembo, Masanja kafungwa Hong Kong kwa unga na hata Haji alikaa jela na ana kesi za utapeli, sasa Yanga na Simba ni sawa na Kitambi na Ujauzito, havifanani abadan
Hahahahahaha C & P


Huu mchezo hautaki hasira [emoji125][emoji125][emoji125][emoji2][emoji2][emoji2]
 
JIONEE TOFAUTI: Rais wa Simba ana elimu ya kidato cha NNE na alisoma Kinondoni Muslim na Katibu wao ni form SIX but Mwenyekiti wa Yanga ana Masters ya Havard University na Katibu alikuwa na PhD. Yanga haina kiongozi si tu aliye jela bali hata aliyeshitakiwa kwa kosa lolote la jinai, but Simba wamekuwa na Rage alifungwa kwa wizi, Hanspope alifungwa kwa uhaini, Hasanoo alifungwa kwa meno ya tembo, Masanja kafungwa Hong Kong kwa unga na hata Haji alikaa jela na ana kesi za utapeli, sasa Yanga na Simba ni sawa na Kitambi na Ujauzito, havifanani abadan
Hahahahahaha C & P


Huu mchezo hautaki hasira [emoji125][emoji125][emoji125][emoji2][emoji2][emoji2]
Tumuongeze na muro alimiliki pingu kama polisi wakati anakwenda kufanya utapeli bagamoyo,
 
Sijakusoma bado unachomaanisha mkuu, ni mafanikio ya mwenyekiti km mwenyekiti (manji) au mafanikio ya Yanga...!!!?? Kajipange then uludi tena ukiwa umejitambua vzuri.
 
Inashangaza kuona mashabiki wa Yanga wote ni kama wamezaliwa mwaka 2005, yanga kuchukua ubingwa ni jambo la kawaida wenyeviti wote waliopita walifanya hivyo, labda mmesahau Yanga iliokuwa na mafanikio ni ile iliocheza makundi ligi ya mabingwa ikaazima wachezaji.

Lakini si hii ni aibu kupita na kujinasibu hayo ni mafanikio,sasa hapa toka mwenyekiti alipoingia na mkwara wa kuifunga tano simba bado hajafanikiwa mashabiki kuzimia na kulilia wamesubiri mpaka wamekata tamaa na kwenda kushangilia timu,hebu toeni sababu tatu tu za mafanikio ya mwenyekiti tangu achukue timu?
Hivi ni kweli huwezi kupima mafanikio ya yanga kwa sasa! Ni kama vile unaikana jinsia yako! Basi tuseme Simba ana mafanikio toka alipoingia Aveva! Imechukua kombe la ligi, FA na sasa inacheza makundi!
 
Hapo kuna lipi jipya miaka minne imekwama kwa waraabu mara ngapi?na kama mafanikio ya juu ni yule alieipeleka makundi ligi ya mabingwa
Ni heri kukwama kwa Waarabu kuliko kukwana kwa Toto Africans na Stand United miaka minne mfululizo.

Kamhoji kwanza Aveva kafanya nini ndipo upate maono ya kuhoji mafanikio ya Manji.

Poor mkia na manyoya yake.
 
Ni heri kukwama kwa Waarabu kuliko kukwana kwa Toto Africans na Stand United miaka minne mfululizo.

Kamhoji kwanza Aveva kafanya nini ndipo upate maono ya kuhoji mafanikio ya Manji.

Poor mkia na manyoya yake.
punguza munkari makoye matale hatumuondoi manji ila tupime mafanikio yale ya miaka ya nyuma na ya sasa yapi ni mafanikio,kipindi kile ilicheza ligi mabingwa makundi,ilichukua africa mashariki uganda,waliuza kimanda,nonda,je huyu amefika hapo
 
Back
Top Bottom