SOSDANNY
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 453
- 444
Walisema kuna mtu aliunawa mpira lakini najaribu kuangalia sijaiona, lakini hakuna shida wache tu. Siunajua tuna pigwa vita sana.hivi goli la Makambo lina tatizo gani jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walisema kuna mtu aliunawa mpira lakini najaribu kuangalia sijaiona, lakini hakuna shida wache tu. Siunajua tuna pigwa vita sana.hivi goli la Makambo lina tatizo gani jamani
Yaani we acha tu.Walisema kuna mtu aliunawa mpira lakini najaribu kuangalia sijaiona, lakini hakuna shida wache tu. Siunajua tuna pigwa vita sana.
Karia huyo...double stds.Angalia mchezaji wa Yanga alichofanyiwa lakini ikapigwa kimya. View attachment 962809
Kunradhi sheheeUnaniita boya kwa kigezo kipi? Au umishazoea kutukana watu? Jamaa hakuaniisha kama kufungwa kwenye mashindano yote au kwenye domestic league tu bali amesema FIFA inatambua. Kama kwenye ligi kuu hata Juve na PSG hajafungwa pia. Unatoa tusi pasipo kufikiria au kwavile nimesema liverpool kaishaonja kipigo ndio povu likutoke namna hiyo.
Ni kweli, mmesajili.Jamani ni kweli tumemsajili haruna moshi?
Duuu!Ni kweli, mmesajili.
Amina ndugu!Mechi inayofuata na Ruvu shooting inaonyedha itakuwa tarehe 16/12/2018, Yanga ndiyo mwenyeji, moja kwa moja umekwishajua uwanja utakaotumika.
Mpira umekwisha YANGA 3-2 RUVU SHOOTINGYanga vs Ruvu Shooting
1-0
11' Tambwe A
32'
1-1
Half time
1-1
Second half
2-1
85'
2-2
87'
Hii tabia ya kuwatanguliza watu na kuwatamanisha sio nzuriYOUNG AFRICANS FOOTBALL CLUB "The Citizen Team" tunapambana wakuu. Wananchi wenzangu twendeni mbele nyuma mwiko!
Hii in kama enzi hizo una kademu kakali balaa umetoka kukapokea stendi unaenda nako geto, kuna wakati unakatanguliza hatua kadhaa mbele watu wanakatolea mate kinoma humo njiani na wewe unakatathimini kwa nyuma kabla ya kwenda kukalambaHii tabia ya kuwatanguliza watu na kuwatamanisha sio nzuri