Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ila Mtani una kimuhe muhe. lolDkk ya ngapi huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Mtani una kimuhe muhe. lolDkk ya ngapi huko
Imekaribia
Wasubiriage tu hao sababu kuzika ni kesho kutwa. 😂😂Refa amalize mpira haraka, kuna watu wanataka kuwahi kwenye issue za msiba.
kabisa mkuu au waachane nayo tu kipindi cha kwanza kimetoshaRefa amalize mpira haraka, kuna watu wanataka kuwahi kwenye issue za msiba.
Ingekuwa yes we can saa hii tungekuwa tunaongelea 0-3Mwamuzi ni dkk 90 Mtani hayo ya masalio sio kawaida yetu
Hawa wanafunzi wana kuchanganya mtaniWasubiriage tu hao sababu kuzika ni kesho kutwa.
Sa unaleta habari gani wakati inacheza timu ya Wananchi Mtani. Leo sio mahala pake hapa ni Yanga na Alliance tu.Ingekuwa yes we can saa hii tungekuwa tunaongelea 0-3
Samahani basi kila la heri wanafunziSa unaleta habari gani wakati inacheza timu ya Wananchi Mtani. Leo sio mahala pake hapa ni Yanga na Alliance tu.
Habari unazo Mtani?Samahani basi kila la heri wanafunzi
Nani kafunga?Yanga 1-0
Gooooooalllllll
DKK YA 75 TAMBWE ANATUPATIA BAO.
😀😀😀😀 kumekucha ndio