Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii team inaongoza idadi ya michezoKILA LA KHERI TIMU YA WANANCHI HAPO 16:00HRS DHIDI YA AFRICAN LYON.
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Timu gani?Hii team inaongoza idadi ya michezo
Pilika zinabana had tunashindwa kusindikiza ushindi humu
Umepatikana mkoani kilimanjaro hukoFrank Wanjiru Maxmizer Mgagaa na Upwa Tiba Ulimakafu Shadeeya Southern Highland Guasa Amboni Gang Chomba Mr Never Mind Prince Kunta Tate Mkuu 1954 Kobello Rotomoto Kivule Nifah hazard cfc Joseverest SOSDANNY
Na wanachi wengine wote sio mbaya kuwatag kama nimewasahau
Napenda tu kuuliza hivi ule mpira uliopaa angani juu kabisa mawinguni siku ya juzi ina maana huko mitaa ya kwenu nako bado tu haujaonekana???🙂🙂🙂
From dar to Kilimanjaro daaah acheni bocco aitwe boccoUmepatikana mkoani kilimanjaro huko
Mkuu huku Tanangozi kuna mpira umeangukia ng'ombe sasa hatujaelewa bado umetokea wapi.Frank Wanjiru Maxmizer Mgagaa na Upwa Tiba Ulimakafu Shadeeya Southern Highland Guasa Amboni Gang Chomba Mr Never Mind Prince Kunta Tate Mkuu 1954 Kobello Rotomoto Kivule Nifah hazard cfc Joseverest SOSDANNY
Na wanachi wengine wote sio mbaya kuwatag kama nimewasahau
Napenda tu kuuliza hivi ule mpira uliopaa angani juu kabisa mawinguni siku ya juzi ina maana huko mitaa ya kwenu nako bado tu haujaonekana???🙂🙂🙂
Frank Wanjiru Maxmizer Mgagaa na Upwa Tiba Ulimakafu Shadeeya Southern Highland Guasa Amboni Gang Chomba Mr Never Mind Prince Kunta Tate Mkuu 1954 Kobello Rotomoto Kivule Nifah hazard cfc Joseverest SOSDANNY
Na wanachi wengine wote sio mbaya kuwatag kama nimewasahau
Napenda tu kuuliza hivi ule mpira uliopaa angani juu kabisa mawinguni siku ya juzi ina maana huko mitaa ya kwenu nako bado tu haujaonekana???🙂🙂🙂
🙂🙂🙂🙂Mkuu huku Tanangozi kuna mpira umeangukia ng'ombe sasa hatujaelewa bado umetokea wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Mkuu huwa hazizuwiliki hizo.Pilika zinabana had tunashindwa kusindikiza ushindi humu
Herieth Makamboooo safi sana vijana
pamoja sana tuendelee kuabarishana habari za yanga yetu
Umeonekana huku NKASI jana jioni. 😅😅😅😅Frank Wanjiru Maxmizer Mgagaa na Upwa Tiba Ulimakafu Shadeeya Southern Highland Guasa Amboni Gang Chomba Mr Never Mind Prince Kunta Tate Mkuu 1954 Kobello Rotomoto Kivule Nifah hazard cfc Joseverest SOSDANNY
Na wanachi wengine wote sio mbaya kuwatag kama nimewasahau
Napenda tu kuuliza hivi ule mpira uliopaa angani juu kabisa mawinguni siku ya juzi ina maana huko mitaa ya kwenu nako bado tu haujaonekana???🙂🙂🙂