Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
๐ ๐ ๐ ๐From dar to Kilimanjaro daaah acheni bocco aitwe bocco
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ ๐ ๐ ๐From dar to Kilimanjaro daaah acheni bocco aitwe bocco
Itakuwa ndio huo huo Mkuu. Teh tehMkuu huku Tanangozi kuna mpira umeangukia ng'ombe sasa hatujaelewa bado umetokea wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nifah huo upendo wa mshumaa ila ukae ukijua mikia wakija wageni hawana uzalendo wale
Nasikia uko Uvinza unavizia mpaka kuvuka kwenda DRC.Frank Wanjiru Maxmizer Mgagaa na Upwa Tiba Ulimakafu Shadeeya Southern Highland Guasa Amboni Gang Chomba Mr Never Mind Prince Kunta Tate Mkuu 1954 Kobello Rotomoto Kivule Nifah hazard cfc Joseverest SOSDANNY
Na wanachi wengine wote sio mbaya kuwatag kama nimewasahau
Napenda tu kuuliza hivi ule mpira uliopaa angani juu kabisa mawinguni siku ya juzi ina maana huko mitaa ya kwenu nako bado tu haujaonekana???๐๐๐
Ina maana umefika hadi kwa mheshimiwa Ally Kessy loooh๐๐๐Umeonekana huku NKASI jana jioni. ๐ ๐ ๐ ๐
Bocco hana lolote kiazi tuHapana, sina na wala sitokaa niwe na upendo juu ya Simba.
Kama mpenzi wa mpira ni ngumu kukataa ubora wa Bocco, japo yuko Simba lakini namkubali.
Suala la penalt nilimuonea huruma kibinadamu tu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
๐๐. Mkuu kama unaenda Lubumbashi itakuwa vizuri mana naskia caf mechi ya marudiano wanamuwekea mapyaNasikia uko Uvinza unavizia mpaka kuvuka kwenda DRC.
mimi hata mikia wakicheza na Wadudu nitashabikia waduduHapana, sina na wala sitokaa niwe na upendo juu ya Simba.
Kama mpenzi wa mpira ni ngumu kukataa ubora wa Bocco, japo yuko Simba lakini namkubali.
Suala la penalt nilimuonea huruma kibinadamu tu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Umepatikana mkoani kilimanjaro huko
hahaha wakuu mnaniua mbavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mkuu kama unaenda Lubumbashi itakuwa vizuri mana naskia caf mechi ya marudiano wanamuwekea mapyaView attachment 1066785
Ni kweli na ilizidi kujulikana zaidi hasa baada ya kwenda kujitangaza kule Congo na misri.yanga ni timu ndogo sana barani afrika.hizo sifa zote tajwa hapo juu ni hapa tanzania tu ,ukilinganisha klabu hizi kubwa mbili.simba ndiyo inajulikana zaidi ya yanga
Umefika ndio. ๐๐๐Ina maana umefika hadi kwa mheshimiwa Ally Kessy loooh๐๐๐
Ewaaaaaaa. Umesahau na kule Algeria. ๐ ๐Ni kweli na ilizidi kujulikana zaidi hasa baada ya kwenda kujitangaza kule Congo na misri.