Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

20190721_071258.jpg

Juma Mahadhi ametaja sababu za kuto onekana Morogoro
.
.
Winga Juma Mahadhi ni miongoni mwa wachezaji watakaoendelea kukipiga Jangwani baada ya uongozi wa Yanga kumuongeza mkataba

Hata hivyo 'kiberenge' huyo bado hajaonekana uwanjani wakati wenzie wanaendelea kujifua mkoani Morogoro

Msimu mzima uliopita Mahadhi hakupiga kabisa 'gozi la ng'ombe' baada ya kuvunjika mguu kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya USM Alger

Mahadhi amefichua kuwa sio muda mrefu ataonekana dimbani baada ya kupona majeraha hayo "Kwa sasa nimepona kwa kiasi kikubwa, wanayanga wawe na subira kidogo siku sio nyingi wataniona uwanjani" amesema

Licha ya kutoonekana uwanjani kwa muda mrefu, kocha Mwinyi Zahera ameonyesha kuwa na imani nae na kupendekeza aongezwe mkataba

Mahadhi alitua Yanga misimu mitatu iliyopita akitokea klabu ya Coastal Union .
 

Kampuni ya GSM ilishinda tenda ya kutengeneza na kusambaza vifaa mbalimbali vya timu ya Yanga zikiwemo jezi

Inaelezwa mchakato wa utengenezaji wa jezi mpya za Yanga unasimamiwa na GSM na zitatambulishwa August 04 siku ya kilele cha wiki ya Mwananchi wakati Yanga itakapomenyana na AS Vita kwenye mchezo wa Kimataifa wa kirafiki ambao pia utatumika kutambulisha kikosi cha timu hiyo

Msimu huu unaokuja Yanga itakuwa na matoleo matatu tu ya jezi, yaani jezi ya nyumbani, ugenini na jezi nyingine ya dharura

Kwa mara ya kwanza mashabiki wa Yanga wataweza kununua jezi halisi zitakazotumiwa na timu yao msimu mzima

Msimu uliopita Yanga ilitoa zaidi ya matoleo tisa ya jezi ambapo ilifikia wakati jezi halisi hazikufahamika

Wakati huu wa maandalizi ya msimu, kwenye michezo ya kirafiki Yanga inatumia jezi nyeusi zenye michirizi ya njano

Aidha, kampuni ya GSM pia itasimamia mauzo ya jezi halisi za Yanga hivyo kuwa na uhakika wa jezi hizo kupatikana nchi nzima

GSM pia itaweka duka Makao Makuu ya klabu ya Yanga
Kwa hapa sitii neno Shadeeya zaidi ya kuwapongeza kwa hatua hiyo. Pongezi nyingi ni kwa Mwakalebela maana huyu jamaa namkubali sana kama kiongozi mahiri mwenye mipango na mikakati ya kimaendeleo tangia akiwa TFF ya ndugu Tenga

Pongezi zangu kwa Yanga ni kwasababu nataka msimu huu mkose visingizio kwamba oooh mara wachezaji wamegoma hawajalipwa mishahara mara sijui hamna mfadhili kama Simba

Tutapokua tunawanyanyasa uwanjani basi muwe mko kamili na hicho kikosi chenu na jezi zenu mpya a wafandhili wenu ili mjue Mfalme wa pori ni mmoja tu na si mwingine zaidi ya LUNYASI
 
Mlinda mlango wa timu ya Yanga Farouk Shikalo aliyesajiliwa kutoka timu Bandari Fc ya Kenya anataraji kuwasili nchini leo kwa ajili kujiunga na timu hiyo iliyopo kambini mkoani Morogoro.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya klabu hiyo zinaeleza Shikalo anataraji kuwasili hapa nchini kwa Shirika la ndege la Kenya, Kenya Airways,
Anakuya kulokota mwenyewe kunyavu

Msije mkamtimua tu katikati ya msimu
 
Kwa hapa sitii neno Shadeeya zaidi ya kuwapongeza kwa hatua hiyo. Pongezi nyingi ni kwa Mwakalebela maana huyu jamaa namkubali sana kama kiongozi mahiri mwenye mipango na mikakati ya kimaendeleo tangia akiwa TFF ya ndugu Tenga

Pongezi zangu kwa Yanga ni kwasababu nataka msimu huu mkose visingizio kwamba oooh mara wachezaji wamegoma hawajalipwa mishahara mara sijui hamna mfadhili kama Simba

Tutapokua tunawanyanyasa uwanjani basi muwe mko kamili na hicho kikosi chenu na jezi zenu mpya a wafandhili wenu ili mjue Mfalme wa pori ni mmoja tu na si mwingine zaidi ya LUNYASI
Mwisho wa siku tukutane Uwanjani Ses.
 
Yaani wewe na akili yako yote uliamini hivyo?... MBAMBANE kule kwao tuliweka dawa?...
VITA CLUB hadi Zahera alilala hotelini kwao akiwapa mbinu zote lakin walipigwa pale taifa...
Kinachowatia aibu ni Simba kufanya vzr... mnanongwa sana nyie chura... MAMELOD aliweka dawa kumfunga AL AHLY 5-0 pale South?
Hata AS VITA alivyowagonga vitano kule congo hakuweka dawa.
 

Kampuni ya GSM ilishinda tenda ya kutengeneza na kusambaza vifaa mbalimbali vya timu ya Yanga zikiwemo jezi

Inaelezwa mchakato wa utengenezaji wa jezi mpya za Yanga unasimamiwa na GSM na zitatambulishwa August 04 siku ya kilele cha wiki ya Mwananchi wakati Yanga itakapomenyana na AS Vita kwenye mchezo wa Kimataifa wa kirafiki ambao pia utatumika kutambulisha kikosi cha timu hiyo

Msimu huu unaokuja Yanga itakuwa na matoleo matatu tu ya jezi, yaani jezi ya nyumbani, ugenini na jezi nyingine ya dharura

Kwa mara ya kwanza mashabiki wa Yanga wataweza kununua jezi halisi zitakazotumiwa na timu yao msimu mzima

Msimu uliopita Yanga ilitoa zaidi ya matoleo tisa ya jezi ambapo ilifikia wakati jezi halisi hazikufahamika

Wakati huu wa maandalizi ya msimu, kwenye michezo ya kirafiki Yanga inatumia jezi nyeusi zenye michirizi ya njano

Aidha, kampuni ya GSM pia itasimamia mauzo ya jezi halisi za Yanga hivyo kuwa na uhakika wa jezi hizo kupatikana nchi nzima

GSM pia itaweka duka Makao Makuu ya klabu ya Yanga
Mi nilijua tu million 300 itoke ivi ivi bure tu;
 
KIKOSI KILICHOCHEZA DHIDI YA TOWNSHP ROLLERS MARCH 2018 CHINI YA LWANDAMINA.

Kabwili, Kessy, Dante, Yondani, Ngonyani, Makapu, Tshitshimbi,Buswita, Chirwa, Ajib, Marthin

WAMEKUJA WAKATI MBAYA SAAAAAAANA, KISASI LAZIMA KILIPWE.
 
Back
Top Bottom