Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ilikuwa clear penat ile mtani.Ndio Yule Mama alitunyima Penalti au nadanganya Mtani? 😉
Naona prison mmemkwepaEti shamba jamani lol.
Ni Mbeya huko Mtani.
😀😀😀 Dongo hili Mtani.Yeah ilikuwa clear penat ile mtani.
Dah ila tunakazi ya ziada ya kufanya katika forward yetu.
Mana penat na mipira iliyokufa isipopatikana ndo haifungi tena.
Mechi Ipo mbona ila inachezwa Iringa Mtani.Naona prison mmemkwepa
Sasa mnajianda na tarehe 4
Dah asavari mtani.Mechi Ipo mbona ila inachezwa Iringa Mtani.
Ooh. Nimefurahi kukuona.
Kukuweka sawa tu Mtani zimebakia siku 09 kuelekea kwenye Derby ya TZ
Dooh!! Hebu achana na mawazo ya sare Mtani.Dah asavari mtani.
Kesho zikiachwa mbili tena pale samora mambo yatakuwa mujarabu kabisa
Haya mi nipo Mtani.Ndo maan nimekutafuta mapema
Haya mi nipo Mtani.
Refa ni binadamu na hawezi kuwa perfect kwa asilimia zote na bahati mbaya hatuna VAR MkuuHii timu haitakiwi kushinda asee. Wengine Jana walizawadiwa penati kama zawadi ya Xmass huko shamba la bibi
Refa ni binadamu ujue Shadeeya, na hawezi kuona kila tukio kwa asilimia mia moja. Na hiyo ndio inaleta raha na msisimko kwenye soka,Soka la Tanzania huwa linakera sana Mkuu. Yaani yule Mama alinikera sana.
Watasema tunataka ushindi wa kupewa ila pale tulistahili kupata penalties.
Ni sawa yule ni binadamu lakini sio kwa makosa yale tena ya waziwazi.Refa ni binadamu ujue Shadeeya, na hawezi kuona kila tukio kwa asilimia mia moja. Na hiyo ndio inaleta raha na msisimko kwenye soka,
Yaani tuache mpira uchezwe na binadamu na uchezeshwe na binadamu, tuache yafanyike makosa ya kibinadamu, ndio raha yenyewe hiyo kuliko kuanza kutumia hayo ma ARV sijui VAR utadhani play station au watu wanaenda kupiga kura!!!
Wasambaa wanamsemo wao na mimi nawanukuu;Ni sawa yule ni binadamu lakini sio kwa makosa yale tena ya waziwazi.
Ila tulishashukuru na tunaganga ya Wajelajela leo.
Nakazia Mkuu. Tupo nyuma yao.Naamini tutapata ushindi Leo. Timu ya wananchi,wananchi tupo nyuma yenu