Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hahahaa. Hapa kwa herufi kibwa sioni kombe ambalo utaeza chukua hapo.

Shika hii kauli yangu Mtani.
Hahahahahahahahah Nakuhakikishia YANGA hata chukua kikombe chochote msimu huu ambacho Simba tutashiriki.

SHIKA HII KAULI YANGU.
 
Tutachukua kila kikombe ambacho tutashiriki na tunaanza na hili la Mapinduzi then Fa, Ligi kuu, Sportpesa na Cecafa yatafata
Shadeeya.
 
Imenichukua muda kidogo kabla ya kugundua kwamba Yanga tulifanya vema kutolewa na mtibwa.

Kwanza tulijiepusha na Ku risk,kwani kwenye derby lolote linaweza tokea,japo tuna uhakika Wa kuifunga simba hata tukicheza sasa hivi hapa ninavyoandika,ila kwa sababu mpira unadunda ingetokea wakatufunga timu ingepunguza morali tuliyonayo washabiki ktk kuiamini timu yetu.

Pili,tungekuwa tumechafua image ya brand yetu kwa mashindano ambayo hayana faida kwetu

Tatu, katika mchezo huo Simba wasingekuwa na cha kupoteza manake kama biashara wao wameshafanya kwa kuchukua hela zote ktk derby ya kwanza ambapo wao walikuwa wenyeji hivyo kama tungepunguza morali ya washabiki inamaana Yanga ndio ingekuwa na hasara kawani wao biashara yao wataifanya ktk mchezo Wa marudiano.

Nne, ili mchezo Wa pili uwe na msisimko zaidi inabidi hii tension iliyopo sasa ya Nani ni Mbabe kwa mwenzake iendelee kuimarika japo nyuma ya pazia tunajua kabisa Simba hawatuwezi na tutawakong'ota hadi Manara wamwite Manyaya.

Mwisho kabisa hatuna haja ya kulalamika kutokana na timu yetu kutolewa na mtibwa kwani hii ina faida kwetu wananchi.

HALAFU!!! HIVI NI KWELI JAMES KOTEI ANAKUJA!??
 
Upo sahihi mkuu, lakini hatukupoteza makusudi

Sababu mikia ni weupe sana, angalia hata mpira wanaocheza ni wa kawaida sana japo jana walichezesha kikosi chao cha kwanza

Babu kagere naye tangu anyang'anywe power bank amekuwa akizurura tu uwanjani

Nakubaliana kwamba, kutolewa nusu fainali imetupa fursa ya kujipanga kwenye ligi, ambapo tarehe 15 Januari tunacheza na Kagera
Imenichukua muda kidogo kabla ya kugundua kwamba Yanga tulifanya vema kutolewa na mtibwa.

Kwanza tulijiepusha na Ku risk,kwani kwenye derby lolote linaweza tokea,japo tuna uhakika Wa kuifunga simba hata tukicheza sasa hivi hapa ninavyoandika,ila kwa sababu mpira unadunda ingetokea wakatufunga timu ingepunguza morali tuliyonayo washabiki ktk kuiamini timu yetu.

Pili,tungekuwa tumechafua image ya brand yetu kwa mashindano ambayo hayana faida kwetu

Tatu, katika mchezo huo Simba wasingekuwa na cha kupoteza manake kama biashara wao wameshafanya kwa kuchukua hela zote ktk derby ya kwanza ambapo wao walikuwa wenyeji hivyo kama tungepunguza morali ya washabiki inamaana Yanga ndio ingekuwa na hasara kawani wao biashara yao wataifanya ktk mchezo Wa marudiano.

Nne, ili mchezo Wa pili uwe na msisimko zaidi inabidi hii tension iliyopo sasa ya Nani ni Mbabe kwa mwenzake iendelee kuimarika japo nyuma ya pazia tunajua kabisa Simba hawatuwezi na tutawakong'ota hadi Manara wamwite Manyaya.

Mwisho kabisa hatuna haja ya kulalamika kutokana na timu yetu kutolewa na mtibwa kwani hii ina faida kwetu wananchi.

HALAFU!!! HIVI NI KWELI JAMES KOTEI ANAKUJA!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom