Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

[emoji2] [emoji2] mwanzo lilikuja vuvuvugu la kufurahia ujio wa tshishimbi huko mpaka ajibu na Manara kwenye page zao za akaunti walikuwa wanapost ishu za huyu mkongo kiasi Manara akasema yeye anatamani tshishimbi aje simba,je kwa nafasi anayocheza na umri wake ni kweli tshishimbi ni hitaji haswa la kikosi chenu?
Hahahaha, Tshishimbi ilikua project ya watu kuvuta hela ,km ilivyo kawaida msimu Wa usajiri ukiwadia
 
20200401_192908.jpg
 
Yaani hawakawiagi kuleta masokomoko huko.

Safari hii kawekwa na mdada.
Hahahaha ndio maana nakuambiaga Mtani hy timu yenu, mikamati mingi halafu naona haina tija

Hivi ile ya akina bin kleb kusimamia usajiri vipi si ndio muda wake huu ?

Na ile nyingine sijui ya uchumi sijui kujenga uwanja , yaani ili mradi tu kula MTU aliye karibu na timu awepo
 
Back
Top Bottom