Tareeq
JF-Expert Member
- May 3, 2010
- 828
- 408
MAFANIKIO NJE YA MIPAKA.
Yanga kama yanga ndo timu pekee iliyowahi kuchukua kombe linalotambuliwa na shirikisho la soka barani afrika CAF na shirikisho la soka duniani FIFA. itakumbukwa tu yanga waliwafunga express ya uganda kwa goli 3-1 katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la klabu bingwa afrika mashariki na kati na mechi ya fainali walitakiwa wakipige na SC villa.
€€€Huu nao ni uandishi kanjanja mwanzoni mwa karne ya 21 . Ati Yanga ndiyo timu pekee iliyowahi kuchukua kombe . Mwandishi unamaana gani hasa kutulisha matango pori kama haya . Dunia simama Yanga atuelezee
Yanga kama yanga ndo timu pekee iliyowahi kuchukua kombe linalotambuliwa na shirikisho la soka barani afrika CAF na shirikisho la soka duniani FIFA. itakumbukwa tu yanga waliwafunga express ya uganda kwa goli 3-1 katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la klabu bingwa afrika mashariki na kati na mechi ya fainali walitakiwa wakipige na SC villa.
€€€Huu nao ni uandishi kanjanja mwanzoni mwa karne ya 21 . Ati Yanga ndiyo timu pekee iliyowahi kuchukua kombe . Mwandishi unamaana gani hasa kutulisha matango pori kama haya . Dunia simama Yanga atuelezee