DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Usibadilishe maneno, jamaa kasema hivi wananchi ni wapuuzi sasa nyinyi si ndio mnajiitaga wananchi[emoji23][emoji23]Kwa akili zao wanadhani kawatukana wanayanga pekee. Wakati kuna maneno anasema watanzania hawajasoma. Hapo mikia wanajifanya wao sio watanzania
Sokwe fc