Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hivi huwa najiwazia inamaana hakuna makocha wapya ambao wanaeza ifundisha Yanga mpaka wale ambao walishashindwa wakasepa.

Nini maana ya hii kitu jamani mana naona kila sehemu anazungumziwa Lwandamina, Van Pluijm, yule aliyeshindwana na simba Kidevu kwamba mmoja wao anaweza kuja Yanga imekaaje hii? [emoji848][emoji848]

Ni kwamba
- Tumewazowea
- Wako Cheap kuwapata
-Wanaipenda Tz ama aje?
Duu hadi uchebe! Yule ndio kabsaaa!
 
Sinaga Experience na hizo mambo za makocha Mkuu lakini kwa hawa ambao baadhi tulishashindwana nao kwangu naona hawako sahihi sababu mwisho wa siku wataleta mauza uza kama yale waliyokuja nayo mwanzo na huo ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kulaumiana tu na Yanga kubakia pale pale siku zote.

Au we unadhania watakuja na jipya gani?
Florent Ibenge Wa AS Vita ni mwalimu mzuri sana shida yake hakawii kumleta zahera kama msaidizi wake mana ni maswahiba sana
 
Zawadi Mauya kutoa Kagera Sugar
yangasc___CDTjv51AsLR___.jpeg
 
BREAKING NEWS:

Uongozi wa Club ya Yanga unapenda kuwataharifu mashabiki na wapenzi wa Club hiyo kwamba mchezaji fundi wa Club hiyo Yikpe Gnamien ataendelea kuwepo klabuni hapo hadi mwisho wa dahari.
Wape Salaaaam
Mnavyojua kutufuatilia tu Mtani. Kazi mnayo.

Hela ya kuvunja mkataba inatoka wapi eti? Wacha aendelee kuwepo tu. Atasugua benchi mpaka muda wake uishe.
 
Back
Top Bottom