Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaa. Yule ameshaipenda Kijani na njano na hana tamaa tamaa kama yule mwizzi wa magari.Kale katoto bado tunapima ufanisi wake kuona kama atatufaa msimu ujao..
Naona umetuita kwa wingi muda si mrefu tunaenda kuuharibu uzi wa watu[emoji23]