Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

[SUB]
20200923_092616.jpg
[/SUB]​
 
Wachaaa!!!
Nyinyi woote ni wahanga wa huyu mtu, hamto msahau kamwe,

Nkana, goli la kisigino tukaingia Champions league group stage

AS VITA, goli dakika za mwsho tukaingia Robo final

Nyie juz tu hapo, goli la Fraga katengeneza na kawapiga pia goli la pili

Kwasababu hakuigusa Mtibwa, basi mtibwa ni kubwa kuliko nyie, manake mnasema mchezaj wa mechi ndogo
 
Nyinyi woote ni wahanga wa huyu mtu, hamto msahau kamwe,

Nkana, goli la kisigino tukaingia Champions league group stage

AS VITA, goli dakika za mwsho tukaingia Robo final

Nyie juz tu hapo, goli la Fraga katengeneza na kawapiga pia goli la pili

Kwasababu hakuigusa Mtibwa, basi mtibwa ni kubwa kuliko nyie, manake mnasema mchezaj wa mechi ndogo
Unaongea nini NTANI mbona sijakuelewa?
 
Back
Top Bottom