Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kikosi kimeanza safari ya kuelekea Mwanza kwenye mchezo wetu wa Jumapili dhidi ya KMC FC.
Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wa Kanda ya Ziwa tuna jambo letu, tujitokeze kwa wingi kuipa sapoti timu yetu.💚💪🏽
#DaimaMbeleNyumaMwiko
#TimuYaWananchi
@YangaSc.
Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wa Kanda ya Ziwa tuna jambo letu, tujitokeze kwa wingi kuipa sapoti timu yetu.💚💪🏽
#DaimaMbeleNyumaMwiko
#TimuYaWananchi
@YangaSc.