Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Bundi kwa Ulaya ni dalili ya bahati na mafanikio Shadeeya, ni suala la muda tu kabda hatujakaa kwenye nafasi yetu ya siku zote, nafasi inayotustahiki, nafasi ya kwanza
Hizi kauli zitawakost sana huu mwana na mkija shituka mpo nafasi ya tatu au ya nne huko.

Na kama kawaida tunasubiria ngumi tu mana huwa hamna uvumilivu hata chembe
 
Muhindi alibana leo nikawa busy kutwa hapa ndo napata chance ya kushika simu.

Hivi utaamini wala sikuwa najua kama mnacheza? Kuna mtu tu hapa kaniambia weka Azam Hd ndio nikajua kumbe mpo Uwanjani mna jambo lenu 😂😂😂 mie nilikuwa busy na mechi ya Azam.
Naombea umeme leo ukatike kipande hiyo😀😀😀
 
Muhindi alibana leo nikawa busy kutwa hapa ndo napata chance ya kushika simu.

Hivi utaamini wala sikuwa najua kama mnacheza? Kuna mtu tu hapa kaniambia weka Azam Hd ndio nikajua kumbe mpo Uwanjani mna jambo lenu 😂😂😂 mie nilikuwa busy na mechi ya Azam.
Naombea umeme leo ukatike kipande hiyo😀😀😀
Hizi kauli zitawakost sana huu mwana na mkija shituka mpo nafasi ya tatu au ya nne huko.

Na kama kawaida tunasubiria ngumi tu mana huwa hamna uvumilivu hata chembe
Ndio kwanzaa asubuhi kumekucha. Hii ni Ligi na sio mtoano, kwanza dakika 90 hazijaisha
 
Ila bana tuwe wakweli vitimu vidogo vikishakuanza kazi huwa ipo.

Hapo labda mlazimishe tu kwa kupitia miamala la sivyo mnadoda na leo. 😂😂😂😂
Yaani wee acha chu hivi vitimu vinavyokomalia timu kubwa. Masau Bwire leo dah! Sijui tutaweka wapi sura zetu🙈🙆‍♂️🤪
 
Ndio musiwe munaongea huku hamuijui kesho Mtani.

Booookoooooo anasawazisha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji180][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
 
Wananchiiii
20201026_180308.jpg
 
Back
Top Bottom