Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kikosi chetu chinya ya kaze msimu ujao hakutakuwa na team ya kutufunga ukanda huu wa East and central africa, wachezaji wetu wanautaka sana Kila mchezaj anahali na anataka kucheza.
 
Kikosi chetu chinya ya kaze msimu ujao hakutakuwa na team ya kutufunga ukanda huu wa East and central africa, wachezaji wetu wanautaka sana Kila mchezaj anahali na anataka kucheza.
Mkuu Kaze ni kocha mzuri, Tactically mechi aliimaliza mapema tu,shida baadhi ya wachezaji wakienda mbele Maturity yao zero kabisa, Mechi km ile usifanye makosa ukadhani unacheza na Gwambina.
 
Nimetoka na masikitiko sana,hii game ilikuwa yetu kabisa,mbinu za kuanza kujilinda mapema ilikuwa mistake kubwa sana,ila ndiyo matokeo cos sare ni advantage kwetu
Aina ya mbinu ya Yanga (game plan) ilikuwa ile ile kwanzia kipindi cha kwanza hadi kipindi cha pili. Ni kuwacha Simba wacheze kisha kufanya making na kushambulia kwa kasi pindi yanga wanapopata mpira. Tulifeli baada ya kuumia lamine moro +nafasi za wazi tumekosa+ kutokuwa na option kubwa ya viongo wakabaji na beki visiki kwenye benchi
 
Kaka penati Kaka..
Mnajifanya hamuoni
We kweli mjingamimi,hii mbona mlishangilia!!
IMG-20201107-WA0014.jpg
 
Mkuu Kaze ni kocha mzuri, Tactically mechi aliimaliza mapema tu,shida baadhi ya wachezaji wakienda mbele Maturity yao zero kabisa, Mechi km ile usifanye makosa ukadhani unacheza na Gwambina.
Kabisa maana tumekosa clear chances Tatu kabisa ya FEI toto dk za mwisho, faridi nae alizingua kwenye Sita na kichwa cha mwamnyeto

Hope yule namba 10 tuliesajili atatusaidia kuweka kambani baadhi ya chance tunazopoteza pia tunatakiwa ku add quality kwenye attack tunamhitaji mtu lethal kule mbele

#Daimambelenyumamwiko
 
basi tumshukuru refa.
Tatzo ndugu zetu mnasahau haraka, penalty Kama ile ilitokea mwaka Jana kagere alichezewa faulo na yondani nje refa jonesia akaweka tuta
Kingine first half Simba hamkuwa na on target, game yote mmetuzidi possession tu
 
Mevhi tatu mfululizo mnapata matokeo kwa hisani refariii
Tatzo ndugu zetu mnasahau haraka, penalty Kama ile ilitokea mwaka Jana kagere alichezewa faulo na yondani nje refa jonesia akaweka tuta
Kingine first half Simba hamkuwa na on target, game yote mmetuzidi possession tu
 
Back
Top Bottom