Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Wakati ndio utaamua Shadeeya. Muda si mrefu wanaocheka watanuna. Ninavyowajua Wananchi yale mahaba kwa Kaze yatapotea na yatafuatia matusi na kashfa🤣🤣🤣🤣

#Churafcsiowavumilivukwamakocha
Yees!! Tuamini katika wakati Ses kwani pia haiwezi kuwa ajabu aliyenuna sasa akaendelea kununa mpaka mwisho wa msimu. Teh teh.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
dismasten-___CHcazc3gqbN___-.jpg
 
Hizo habari za Mr Senzo Mbatha yupo osterbay kakamatwa ni kweli?
 
Back
Top Bottom