Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
KWA KAULI YA MO LEO BASI YANGA KUNA TATIZO KUBWA SANA
Anaandika @exaud_msaka_habari
Leo sasa rasmi kwa mara ya kwanza naandika kuhusu usajili wa @realclatouschama na tetesi za kwenda Yanga, na nafanya hivi baada sasa Simba kutoa kauli rasmi kuwa wamemuongezea mkataba wa miaka Miwili. Kwa mujibu wa Mo. Nlikuwa naogopa bila kuwa na chanzo
Baada ya kauli ya Leo kuwa Chama yupo Simba miaka miwili mingine, imenifanya nifikirie baadhi ya mambo ambayo timu kubwa kama Yanga nadhani walistahili wasifanye
1. Wasemaji wa Yanga wote na Baadhi ya mashabiki wao wametumia wiki mbili kuwadanganya mashabiki wao kuwa tayari wamemalizana na Chama, na hawakuwa na mafumbo walikuwa wanapost mpaka picha ya Chama mpaka kwenye gazeti la club, hii ina maana gani kwa timu kubwa kama Yanga
2. Mambo ya Usajili Yanga yanaendeshwaje?, mbona kila mtu anaongea, yani inawezekana wana mpango wa kumsajili chama ila Maneno mengi kabla ya kufanikiwa inaweza ikawa chanzo cha Kumkosa nawaza inakuwaje wasemaji wa timu wanasema kabisa wamemalizana naye wakati bado. wanawachukuliaje mashabiki wao
3. Mashabiki maarufu wa Yanga tena wale maarufu wanaoaminiwa na timu wamewaambia mashabiki wao kuwa leo Chamanzi wanaenda kimtambulisha Chama, wanawachukuliaje wanachama wa Yanga
4. Propaganda za soka zinaruhusiwa ila inawezekana Yanga hawajaelewa zinafanywaje, ukiangalia jinsi Manara anavyopost ishu ya Mukoko na jinsi Yanga wanapost ishu ya Chama ni tofauti, Manara yeye anapost kitu ambacho hata umpeleke mahakamani humkamati ila Yanga wanasema wamemalizana naye, na baya zaidi wanaopost ni wasemaji wa timu
Yanga kuna tatizo japo hawalioni na ukilisema wanaweza kukutusi ila haiwezekani kufanya propaganda kama ile kwenye swala ambalo wameshaona kabisa ni ngumu kufanikiwa
Wenzetu ulaya wanafanya vile wakiwa na uhakika wa asilimia 80 kuwa wanaweza kumpaka huyo mchezaji, ila Taarifa nilizonazo Chama amesaini Simba kabla hata Yanga hawajaanza kumpost mitandaoni na walikuwa wanajua
Baada ya yote haya sasa nimeondoka na kauli moja kuwa Simba na Yanga wote wanampenda Chama, kwahiyo hata Chama akiwa Simba ila tunajua na Yanga wanampenda sana na wanamtamani mno.
ALL IN ALL BORA LIMEISHA TUJADILI MENGINE SASA
Anaandika @exaud_msaka_habari
Leo sasa rasmi kwa mara ya kwanza naandika kuhusu usajili wa @realclatouschama na tetesi za kwenda Yanga, na nafanya hivi baada sasa Simba kutoa kauli rasmi kuwa wamemuongezea mkataba wa miaka Miwili. Kwa mujibu wa Mo. Nlikuwa naogopa bila kuwa na chanzo
Baada ya kauli ya Leo kuwa Chama yupo Simba miaka miwili mingine, imenifanya nifikirie baadhi ya mambo ambayo timu kubwa kama Yanga nadhani walistahili wasifanye
1. Wasemaji wa Yanga wote na Baadhi ya mashabiki wao wametumia wiki mbili kuwadanganya mashabiki wao kuwa tayari wamemalizana na Chama, na hawakuwa na mafumbo walikuwa wanapost mpaka picha ya Chama mpaka kwenye gazeti la club, hii ina maana gani kwa timu kubwa kama Yanga
2. Mambo ya Usajili Yanga yanaendeshwaje?, mbona kila mtu anaongea, yani inawezekana wana mpango wa kumsajili chama ila Maneno mengi kabla ya kufanikiwa inaweza ikawa chanzo cha Kumkosa nawaza inakuwaje wasemaji wa timu wanasema kabisa wamemalizana naye wakati bado. wanawachukuliaje mashabiki wao
3. Mashabiki maarufu wa Yanga tena wale maarufu wanaoaminiwa na timu wamewaambia mashabiki wao kuwa leo Chamanzi wanaenda kimtambulisha Chama, wanawachukuliaje wanachama wa Yanga
4. Propaganda za soka zinaruhusiwa ila inawezekana Yanga hawajaelewa zinafanywaje, ukiangalia jinsi Manara anavyopost ishu ya Mukoko na jinsi Yanga wanapost ishu ya Chama ni tofauti, Manara yeye anapost kitu ambacho hata umpeleke mahakamani humkamati ila Yanga wanasema wamemalizana naye, na baya zaidi wanaopost ni wasemaji wa timu
Yanga kuna tatizo japo hawalioni na ukilisema wanaweza kukutusi ila haiwezekani kufanya propaganda kama ile kwenye swala ambalo wameshaona kabisa ni ngumu kufanikiwa
Wenzetu ulaya wanafanya vile wakiwa na uhakika wa asilimia 80 kuwa wanaweza kumpaka huyo mchezaji, ila Taarifa nilizonazo Chama amesaini Simba kabla hata Yanga hawajaanza kumpost mitandaoni na walikuwa wanajua
Baada ya yote haya sasa nimeondoka na kauli moja kuwa Simba na Yanga wote wanampenda Chama, kwahiyo hata Chama akiwa Simba ila tunajua na Yanga wanampenda sana na wanamtamani mno.
ALL IN ALL BORA LIMEISHA TUJADILI MENGINE SASA