Pweza Boy
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,395
- 3,177
Tena hawa Ihefu ndio wanajifanya wamefufuka kutoka katika wafu, ,wameshinda game mbili mfululizo vs Kagera na juzi vs KMC.... Hawa inabidi kuwawekea mziki wa maana, yaani Saido toka dakika ya kwanza awepo ndani. Wateseke hawa Ihefu mpaka mpunga waite mbunga