Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mechi ambayo ingeamua ubingwa imepekwa mwez wa tano , hatujawah kua na jambo letu tukafeli hata Mara moja , yani hata Mara moja ,na haitotokea kamwe

Mechi mbili za simba za mwsho ambazo zilikua ni mechi maalumu

Moja tukaipa jina "TUNA JAMBO LETU"
Nyingine tukaipa jina "WAR IN DAR"

Mechi zote mbili tumeshinda kwa jumla ya aggregate ya goli 8-1
Yanga kala 4, Platinumz kala 4

Shinda Mechi zako zote zilo salia kabla ya may 8

Nami nishinde zote kabla ya may 8 (nafahamu by that time nitakua kilelen either kwa tofaut ya magoli au kwa points , tukutane mechi ya kuamua bingwa
Unaongea Sana af tukikutana hamn kitu mtafanya zaidi ya kuomba sare na Yanga [emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila vitu vingine vinashangaza Mikia mnang'ang'ania Yanga hawezi kuwa bingwa mpaka sasa mumempita Points ngapi kwa huo ubora wenu mulio nao.

Mana kama mngekuwa bora mlipaswa mtuache mbali sana, sasa ikiwa mpaka viporo vyenu mlivyo navyo mufanikiwe kuvila ndio tunakuwa points sawa, sasa huu ujasiri wa kwamba Yanga haezi kuwa bingwa mnautoa wapi.

Haya maneno wanapaswa ziongee zile timu ambazo unakuta ziko mechi sawa na wenzake lakini anaongoza points hata 10 au zaidi na ligi ndo inaelekea ukingoni sasa wewe uko points sawa na yule mwenye kikosi kibovu halafu unasema hastahili kuwa bingwa niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. Lol.

Mkisema Yanga atapoteza sijui atapata sare nyie hamuwezi kupoteza na kupata sare?

#Amkeni usingizini acheni kupumbazwa na kauli za yule Roporopo wenu.
karia na kidau ndio kimbilio lao mikia
 
Ila vitu vingine vinashangaza Mikia mnang'ang'ania Yanga hawezi kuwa bingwa mpaka sasa mumempita Points ngapi kwa huo ubora wenu mulio nao.

Mana kama mngekuwa bora mlipaswa mtuache mbali sana, sasa ikiwa mpaka viporo vyenu mlivyo navyo mufanikiwe kuvila ndio tunakuwa points sawa, sasa huu ujasiri wa kwamba Yanga haezi kuwa bingwa mnautoa wapi.

Haya maneno wanapaswa ziongee zile timu ambazo unakuta ziko mechi sawa na wenzake lakini anaongoza points hata 10 au zaidi na ligi ndo inaelekea ukingoni sasa wewe uko points sawa na yule mwenye kikosi kibovu halafu unasema hastahili kuwa bingwa niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. Lol.

Mkisema Yanga atapoteza sijui atapata sare nyie hamuwezi kupoteza na kupata sare?

#Amkeni usingizini acheni kupumbazwa na kauli za yule Roporopo wenu.

karia na kidau ndio kimbilio lao mikia

Simba ikipata matokeo mabaya
1. Kocha hakufanya selection nzuri
2. Mfumo hakuwa sahihi
3. Beki ina mapungufu
4. Striker wamekosa utulivu
5. Mamido walipoza sana game

Yanga wakipata matokeo mabaya
1. Simba wametia mkono
2. Tff inaibeba simba
3. Bodi ya ligi inaipendelea simba
4. Marefa wanachezesha kwa maagizo
5. Serikali iingilie kati kutatokea machafuko sana
6. Wizara na tff zote ni simba
7.Manara ni mchochezi na analeta uadui ktk mpira [emoji12]

Hivi utopolo mna akili kweli, naona kama aikili zenu zinautapiamlo[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Unaongea Sana af tukikutana hamn kitu mtafanya zaidi ya kuomba sare na Yanga [emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndani ya misimu minne iliyopita mmeshinda mchezo mmoja tu wa ligi

Mmekua mkipigwa au suluhu

Makocha watatu wa mwsho wa simba wamekufunga wote na hujawafunga , huyu wanne kishingo ndio mmemfunga, hiyo tunaiita "bahati"
 
20210217_155857.jpg
 
KILA LA KHERI TIMU YA WANANCHI DHIDI YA KAGERA SUGAR HAPO 19:00HRS.

"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
 
Mimi kwangu Farid na Sarpong wakianzaga naona mauzauza tu, sijui leo labda kwa kuwa ngoma ipo kwenye mkeka.
 
Hapa arudi Ntiba na Yacouba timu ndio itakaa poa,Binafsi ni kheri ht Nchimbi acheze kuliko hawa kina Sarpong
 
Uto kama uto, hii game mkifugwa ndio mtapiga mpaka waandishi wa habari.
 
Back
Top Bottom