Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
NJE YA 18- COASTAL UNION VS YOUNG AFRICANS
Yanga wana shida kwenye eneo la Utawala, soka la kisasa huanza kuchezwa Ofisini kisha linamaliziwa uwanjani, sina uhakika kama Maboss wana watu sahihi wa mpira kwenye cycle yao, sina uhakika kama Yanga ina mikakati sahihi kwenye ofisi zao sina uhakika
Uingereza ilituletea Isaac Newton na Laws of Motions, ila Coastal Union imetuletea ERIC MSAGATI na kipaji chake, ni stori ile ile ya Yusuph Mhilu kutoka Yanga na kuwasha sehemu nyingine, leo tena ni story ya Msagati kwenye jezi ya Coastal
Ugiriki ilituletea Pythagoras na Theory zake kwenye Hesabu, ila Coastal Union imetuletea Kocha JUMA MGUNDA na ufundi wake, aliilock Coast eneo la chini na akaipa kasi ya Usain Bolt eneo la mwisho, kila alichogusa kiligeuka kuwa dhahabu pale Mkwakwani, waliubeba mzimu wa 1989 juu ya barizi la kokoni
Ujerumani ilituletea Adolph Hitler na sera zake za Nazism ila Ghana imetuletea nchini MICHAEL SARPONG na kiwango dhaifu zaidi cha mpira, mzito eneo la mwisho, hana maamuzi na anaikaba sana Yanga, inaumiza na kusikitisha sana, sio rahisi kuamini ni Professional
Kenya ilitupa Afrika David Rudisha kwenye mbio ila Coastal Union imetupa MAJIMENGI kwenye mpira wa miguu, hakuwa rahisi kukabika, hakuwa rahisi kuzuilika, aliweza kutembea vyema na chaki, aliweza kuipeleka defense ya Yanga vile anataka, mwisho wa siku at his best he is unplayable
Tuliwahi kuwa na Albert Einstein na kanuni yake na Atomic akili yake nzuri ikaipa shida dunia na bomu lake, leo tuna TUISILA KISINDA akili yake bora ikaipa Yanga bao moja na akili nyingine ikaikosesha penati muhimu sana Yanga, uzuri wa Mkakasi ndani kipande cha mti bwana
Dunia iliwahi kumiliki akili ya Muitaliano Galilei Galilei, lakini bado dunia inafeli kutumia kanuni zake, lakini Coastal Union ikatupa HANCE MASOUD alieweza vyema kutumia mbinu ngumu kumdhibiti Tuisila Kisinda, tank lake lilijaa mafuta dakika ya Kwanza mpaka ya mwisho
LONDON HAS FALLEN, Yes LAMINE AND MWAMNYETO HAVE FALLEN, game ya tano wanafungika hakuna cleansheet, sijajua sasa ni kuwa wamechoka? Sijajua ni mfumo? Sijajua ni nini ila nachojua ni kukosa watu eneo la mwisho inafanya wapinzani wafunguke muda wote
Yanga wana shida kwenye eneo la Utawala, soka la kisasa huanza kuchezwa Ofisini kisha linamaliziwa uwanjani, sina uhakika kama Maboss wana watu sahihi wa mpira kwenye cycle yao, sina uhakika kama Yanga ina mikakati sahihi kwenye ofisi zao sina uhakika
Uingereza ilituletea Isaac Newton na Laws of Motions, ila Coastal Union imetuletea ERIC MSAGATI na kipaji chake, ni stori ile ile ya Yusuph Mhilu kutoka Yanga na kuwasha sehemu nyingine, leo tena ni story ya Msagati kwenye jezi ya Coastal
Ugiriki ilituletea Pythagoras na Theory zake kwenye Hesabu, ila Coastal Union imetuletea Kocha JUMA MGUNDA na ufundi wake, aliilock Coast eneo la chini na akaipa kasi ya Usain Bolt eneo la mwisho, kila alichogusa kiligeuka kuwa dhahabu pale Mkwakwani, waliubeba mzimu wa 1989 juu ya barizi la kokoni
Ujerumani ilituletea Adolph Hitler na sera zake za Nazism ila Ghana imetuletea nchini MICHAEL SARPONG na kiwango dhaifu zaidi cha mpira, mzito eneo la mwisho, hana maamuzi na anaikaba sana Yanga, inaumiza na kusikitisha sana, sio rahisi kuamini ni Professional
Kenya ilitupa Afrika David Rudisha kwenye mbio ila Coastal Union imetupa MAJIMENGI kwenye mpira wa miguu, hakuwa rahisi kukabika, hakuwa rahisi kuzuilika, aliweza kutembea vyema na chaki, aliweza kuipeleka defense ya Yanga vile anataka, mwisho wa siku at his best he is unplayable
Tuliwahi kuwa na Albert Einstein na kanuni yake na Atomic akili yake nzuri ikaipa shida dunia na bomu lake, leo tuna TUISILA KISINDA akili yake bora ikaipa Yanga bao moja na akili nyingine ikaikosesha penati muhimu sana Yanga, uzuri wa Mkakasi ndani kipande cha mti bwana
Dunia iliwahi kumiliki akili ya Muitaliano Galilei Galilei, lakini bado dunia inafeli kutumia kanuni zake, lakini Coastal Union ikatupa HANCE MASOUD alieweza vyema kutumia mbinu ngumu kumdhibiti Tuisila Kisinda, tank lake lilijaa mafuta dakika ya Kwanza mpaka ya mwisho
LONDON HAS FALLEN, Yes LAMINE AND MWAMNYETO HAVE FALLEN, game ya tano wanafungika hakuna cleansheet, sijajua sasa ni kuwa wamechoka? Sijajua ni mfumo? Sijajua ni nini ila nachojua ni kukosa watu eneo la mwisho inafanya wapinzani wafunguke muda wote