Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hello
IMG-20210410-WA0120.jpg
 
Yanga tumefanya makosa misimu 3 kwenye usajili, ukiangalia timu ina wachezaji 4 tu wenye quality ya Yanga, mchezaji kama Adeyun anavaaje jezi ya Yanga! Feisal naye siyo wa kuanza mechi kubwa hana consistency, pia Kibwana, Yasin, Feston, Sapong, Mauya, Ninja, Farid, hawana hadhi na mentality ya kucheza timu kubwa kama Yanga.
NATANGAZA RASMI KUSIMAMA KUISHABIKIA YANGA MPAKA MSIMU UJAO, sababu sion dalili ya kuchukua kombe lolote msim huu kwa hii timu mbovu, bora nibaki kula raha na THE BLUES.
 
Yanga tumefanya makosa misimu 3 kwenye usajili, ukiangalia timu ina wachezaji 4 tu wenye quality ya Yanga, mchezaji kama Adeyun anavaaje jezi ya Yanga! Feisal naye siyo wa kuanza mechi kubwa hana consistency, pia Kibwana, Yasin, Feston, Sapong, Mauya, Ninja, Farid, hawana hadhi na mentality ya kucheza timu kubwa kama Yanga.
NATANGAZA RASMI KUSIMAMA KUISHABIKIA YANGA MPAKA MSIMU UJAO, sababu sion dalili ya kuchukua kombe lolote msim huu kwa hii timu mbovu, bora nibaki kula raha na THE BLUES.
Tupo pamoja mkuu, hii timu itatuua yan!
 
Yanga tumefanya makosa misimu 3 kwenye usajili, ukiangalia timu ina wachezaji 4 tu wenye quality ya Yanga, mchezaji kama Adeyun anavaaje jezi ya Yanga! Feisal naye siyo wa kuanza mechi kubwa hana consistency, pia Kibwana, Yasin, Feston, Sapong, Mauya, Ninja, Farid, hawana hadhi na mentality ya kucheza timu kubwa kama Yanga.
NATANGAZA RASMI KUSIMAMA KUISHABIKIA YANGA MPAKA MSIMU UJAO, sababu sion dalili ya kuchukua kombe lolote msim huu kwa hii timu mbovu, bora nibaki kula raha na THE BLUES.
Adeyum daah,nimemkumbuka Jafary Muhammed.....
 
Yanga tumefanya makosa misimu 3 kwenye usajili, ukiangalia timu ina wachezaji 4 tu wenye quality ya Yanga, mchezaji kama Adeyun anavaaje jezi ya Yanga! Feisal naye siyo wa kuanza mechi kubwa hana consistency, pia Kibwana, Yasin, Feston, Sapong, Mauya, Ninja, Farid, hawana hadhi na mentality ya kucheza timu kubwa kama Yanga.
NATANGAZA RASMI KUSIMAMA KUISHABIKIA YANGA MPAKA MSIMU UJAO, sababu sion dalili ya kuchukua kombe lolote msim huu kwa hii timu mbovu, bora nibaki kula raha na THE BLUES.
Si mshabeba kombe la mapinduzi?
Alafu shaka iko wapi wakati Yanga inaongoza ligi na wamepoteza mechi moja tu.
 
Yanga tumefanya makosa misimu 3 kwenye usajili, ukiangalia timu ina wachezaji 4 tu wenye quality ya Yanga, mchezaji kama Adeyun anavaaje jezi ya Yanga! Feisal naye siyo wa kuanza mechi kubwa hana consistency, pia Kibwana, Yasin, Feston, Sapong, Mauya, Ninja, Farid, hawana hadhi na mentality ya kucheza timu kubwa kama Yanga.
NATANGAZA RASMI KUSIMAMA KUISHABIKIA YANGA MPAKA MSIMU UJAO, sababu sion dalili ya kuchukua kombe lolote msim huu kwa hii timu mbovu, bora nibaki kula raha na THE BLUES.
Umefanya maamuzi sahihi, maana ni bora ushabikie rede kuliko kushabikia Utopolo.
 
Yanga tumefanya makosa misimu 3 kwenye usajili, ukiangalia timu ina wachezaji 4 tu wenye quality ya Yanga, mchezaji kama Adeyun anavaaje jezi ya Yanga! Feisal naye siyo wa kuanza mechi kubwa hana consistency, pia Kibwana, Yasin, Feston, Sapong, Mauya, Ninja, Farid, hawana hadhi na mentality ya kucheza timu kubwa kama Yanga.
NATANGAZA RASMI KUSIMAMA KUISHABIKIA YANGA MPAKA MSIMU UJAO, sababu sion dalili ya kuchukua kombe lolote msim huu kwa hii timu mbovu, bora nibaki kula raha na THE BLUES.
Yassin anajituma sana yule kijana
Mimi ni simba lakini yassin na mukoko ndio wachezaji wako nje ya hapo huna timu
 
Yanga tumefanya makosa misimu 3 kwenye usajili, ukiangalia timu ina wachezaji 4 tu wenye quality ya Yanga, mchezaji kama Adeyun anavaaje jezi ya Yanga! Feisal naye siyo wa kuanza mechi kubwa hana consistency, pia Kibwana, Yasin, Feston, Sapong, Mauya, Ninja, Farid, hawana hadhi na mentality ya kucheza timu kubwa kama Yanga.
NATANGAZA RASMI KUSIMAMA KUISHABIKIA YANGA MPAKA MSIMU UJAO, sababu sion dalili ya kuchukua kombe lolote msim huu kwa hii timu mbovu, bora nibaki kula raha na THE BLUES.

Hao Wachezaji si ndiyo uwezo wenu! Unadhani Muna Hela za kuwasajili Wachezaji aina ya Chama?
 
Yanga tumefanya makosa misimu 3 kwenye usajili, ukiangalia timu ina wachezaji 4 tu wenye quality ya Yanga, mchezaji kama Adeyun anavaaje jezi ya Yanga! Feisal naye siyo wa kuanza mechi kubwa hana consistency, pia Kibwana, Yasin, Feston, Sapong, Mauya, Ninja, Farid, hawana hadhi na mentality ya kucheza timu kubwa kama Yanga.
NATANGAZA RASMI KUSIMAMA KUISHABIKIA YANGA MPAKA MSIMU UJAO, sababu sion dalili ya kuchukua kombe lolote msim huu kwa hii timu mbovu, bora nibaki kula raha na THE BLUES.
Acha kabisa mambo ya football kwasababu timu inayochukua ubingwa ni moja kati ya nyingi ,haiwezekani kila MTU ashabikie timu inayochukua ubingwa.
 
Acha kabisa mambo ya football kwasababu timu inayochukua ubingwa ni moja kati ya nyingi ,haiwezekani kila MTU ashabikie timu inayochukua ubingwa.
Nimesema napumnzika kuangalia na kushabikia games za Yanga mpaka msimu ujao, zipo timu nyingine nnazozipenda kwenye football pia na si lazima niishabikie Yanga mkuu!
 
Back
Top Bottom