Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Na ndio maana wamemrudisha zahera ili watuchangishe...
Naombea wasiije huku JF wawambie mods ambaye hajachanga asichangie nyuzi yoyote humu..
Bora makolo aseee kwa ajili ya uwanja, sisi ni kwa ajili ya posho za manara kama team imemsinda aseme irudi kwa wazee

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Mkuu unakumbuka kipindi kile zahera alishawahi kutunusuru kwa kujitolea pocket money yake kuichangia yanga?

Sasa kwanini GSM anazidiwa maujanja kama hayo na mtu ambaye anamlipa mshahara?

Halafu huku JF hawawezi kuja si unajua ukifungua tu kwa nje kuna maandishi yanayosomeka "where we dare to talk openly"

Hlafu hiyo ya posho ya manara naiona kama ina make sense kwasababu project hii kaisimamia kidedea kweli yani
 
Mkuu unakumbuka kipindi kile zahera alishawahi kutunusuru kwa kujitolea pocket money yake kuichangia yanga?

Sasa kwanini GSM anazidiwa maujanja kama hayo na mtu ambaye anamlipa mshahara?

Halafu huku JF hawawezi kuja si unajua ukifungua tu kwa nje kuna maandishi yanayosomeka "where we dare to talk openly"

Hlafu hiyo ya posho ya manara naiona kama ina make sense kwasababu project hii kaisimamia kidedea kweli yani
Hii timu bora tumpe zahera tu...
Anamapenzi ya kweli na yanga yetu....

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
20220105_220103.jpg
 
Back
Top Bottom