Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Uzi wa nyaunyau kule umedoda yote yamejazana huku! Hayanaga akili haya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi wa nyaunyau kule umedoda yote yamejazana huku! Hayanaga akili haya!
Kwa Kibwana hapo sawa, sio wa kumtegemea mechi za kimataifa na ndiyo maana kuna Lomalisa na Djuma. Yanga hakuna pengo kwa ss kama mbabisha tuupe nafasi muda.NONDO ANAZINGUA SANA, MZITO, AFU ANAKOKOTA MPIRA CHUMBA NA SEBULE WAKATI BALL CONTROL YAKE NI MBOVU. KWA TUENDAKO HATUFAI NA HUO NDIO UKWELI MCHUNGU.
WENGINE NI KIBWANA SHOMARI, ANATUSAIDIA GAME ZA NDANI ILA KIMAFAIFA ILE ITAKWA NJIA.
TUWE WAKWELI TU.
Alipwaya hata ile mechi ya final FA cup kule Arusha au hukuona? May be amechokaWacha upuuzi, NONDO amecheza vzr msimu mzima uliopita, kapwaya kdg mechi ya juzi na vipers mshaanza miropoko.
Hivi bado tuna nafasi ya mchezaji wakimataifa...?Alipwaya hata ile mechi ya final FA cup kule Arusha au hukuona? May be amechoka
Inabidi mmoja tumtoe kwa mkopo au tuvunje mkataba.Hivi bado tuna nafasi ya mchezaji wakimataifa...?
This is very low my friend! Tuanze Kwanza ligi ndiyo tuseme nani ana timu nzuri ingawa sisi tumeona mlivyokuwa mnatamba navyo si chochote si lolote!
Striker mzunguuuuuu!!!
hahaha yanga sio team ya kuiwekea dhamana kiasi hiki mkuu.
Noted
Hakika Mkuu.Kwa nilichokiona mechi ya jana wakuu, hii Yanga ni moto wa kuotea mbali nyie subirini muone.
Imefikia wapi hii Mkuu?Hii Yanga mwaka huu kazi wanayo.View attachment 2319600
Ndio ndio Mkuu. Hahahaaa.
Naona kimya kimetawala, nmesikia jamaa wanataka wapewe Makambo, ila kiukweli hili dili lingekuwa la kipuuzi sn km Singida wangekubali, yn tubadilishane Moloko na huyo mbrazil ingekuwa wizi. Mm naona tuwape Makambo na Moloko alafu bado mshahara wa Moloko tulipe japo 30%.Imefikia wapi hii Mkuu?
Yanga kumfunga Simba kesho kutwa wala sio jambo la kushangaza mkuu.Hakika Mkuu.
Na tutawashangaza kesho kutwa hawataamini.
Mambo zilikuwa mingi kidogo. Hahahaaa. Mkuu umeua kwamba huyo mbrazil ni moto wa kuotea mbali ama?Naona kimya kimetawala, nmesikia jamaa wanataka wapewe Makambo, ila kiukweli hili dili lingekuwa la kipuuzi sn km Singida wangekubali, yn tubadilishane Moloko na huyo mbrazil ingekuwa wizi. Mm naona tuwape Makambo na Moloko alafu bado mshahara wa Moloko tulipe japo 30%.
Na hawataamini.Yanga kumfunga Simba kesho kutwa wala sio jambo la kushangaza mkuu.