Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Uzi wa nyaunyau kule umedoda yote yamejazana huku! Hayanaga akili haya!
JamiiForums-446696581.jpg
 
NONDO ANAZINGUA SANA, MZITO, AFU ANAKOKOTA MPIRA CHUMBA NA SEBULE WAKATI BALL CONTROL YAKE NI MBOVU. KWA TUENDAKO HATUFAI NA HUO NDIO UKWELI MCHUNGU.

WENGINE NI KIBWANA SHOMARI, ANATUSAIDIA GAME ZA NDANI ILA KIMAFAIFA ILE ITAKWA NJIA.

TUWE WAKWELI TU.
Kwa Kibwana hapo sawa, sio wa kumtegemea mechi za kimataifa na ndiyo maana kuna Lomalisa na Djuma. Yanga hakuna pengo kwa ss kama mbabisha tuupe nafasi muda.
 
Imefikia wapi hii Mkuu?
Naona kimya kimetawala, nmesikia jamaa wanataka wapewe Makambo, ila kiukweli hili dili lingekuwa la kipuuzi sn km Singida wangekubali, yn tubadilishane Moloko na huyo mbrazil ingekuwa wizi. Mm naona tuwape Makambo na Moloko alafu bado mshahara wa Moloko tulipe japo 30%.
 
Naona kimya kimetawala, nmesikia jamaa wanataka wapewe Makambo, ila kiukweli hili dili lingekuwa la kipuuzi sn km Singida wangekubali, yn tubadilishane Moloko na huyo mbrazil ingekuwa wizi. Mm naona tuwape Makambo na Moloko alafu bado mshahara wa Moloko tulipe japo 30%.
Mambo zilikuwa mingi kidogo. Hahahaaa. Mkuu umeua kwamba huyo mbrazil ni moto wa kuotea mbali ama?
 
Back
Top Bottom