Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aendelee kujificha tuHakika Ndugu.
Halafu Kuna yule naniliu sijui kajifichia wapi. 😀 😀 😀
Nashangaa eti. 😀Kwann asingeingia karia kuwasaidia makolo
Hahahaaa. LolKwa hii yanga
Sioni haja ya mimi kuwa na mpenzi
Uzi wa Timu ya Wananchi anauona kama kituo cha Polisi. Hahahaaaa.
Kabisa yaani.Yanga hii kuna timu kibao za EPL zinafungwa.
Daima Mbele nyuma mwiko.Dar Es Salaam Young Africans [emoji172][emoji169][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
IQ yako ni ndogo sanaSahani nalo mnalishangilia nyie ni wahapa hapa tu utopolo wahid bin KINYESI
Daima Mbele nyuma mwiko.
Mthungu anasubiria pass mpenyezo tu.Tofauti ya mdhungu wa simba na mimi, ni kwamba mimi nilikua naangalia mpira nyumbani yeye alikua anaangalizia mpira uwanjani
Inonga mzee wa kick boxer kamba msamaha kwa kuwakosesha sahaniSahani nalo mnalishangilia nyie ni wahapa hapa tu utopolo wahid bin KINYESI