Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Yale ya Msimu uliopita ndo wakati wake huu. Mtani ameshayakanyaga huu ndio wakati wa kumtimulia vumbi mpaka Ligi inamalizika.

Mpaka jana usiku baada ya mechi ya mikia huu ndo msimamo ulivyokuwa.
Screenshot_20221113-140720_Instagram.jpg
 
View attachment 2415055


JINA KAMILI :Young Africans Sports Club


JINA LA UTANI : Wananchi


KLABU ILIANZISHWA: 11 Februari 1935; Miaka 87 iliyopita, kama New Young


View attachment 2415057
UWANJA : Uwanja Wa Benjamin William Mkapa . Uwezo (60000).


MMILIKI: Klabu hii kwa sasa ipo katika mchakato utakaoweka umiliki wa klabu kwa asilimia 49 kwa wawekezaji na asilimia 51 iliyobaki kwa wanachama wa klabu.

View attachment 2415059
RAIS: Hersi Said.

View attachment 2415061

KOCHA MKUU: Nasreddine Nabi


View attachment 2415069
LIGI KUU : NBC Premier League


2021-22Champion


WEBSITE CLUB: Young Africans Sports Club – Young Africans Sports Club


MATAJI :


LIGI YA TANZANIA


Mabingwa (28): 1968, 1969, 1970, 1971, 1972, 1974, 1981, 1983, 1985,1987, 1989, 1991, 1992, 1993, 1996, 08, 208, 208, 208, 1996, 208, 208, 208, 1996, 2088 –09, 2010–11, 2012–13, 2014–15, 2015–16, 2016–17, 2021–22


KOMBE LA NYERERE


Mabingwa (3): 1975, 1994, 1999


Washindi wa pili (1): 2001


KOMBE LA FAT


Mabingwa (2): 2015–16, 2021/22


Washindi wa pili (2): 1996, 2021


KOMBE LA TUSKER


Mabingwa (7):1986,1992,1987,2000,2005,2007,2009


Washindi wa pili (3): 2001, 2002, 2005.


MAPINDUZI CUP


Mabingwa (3): 2003,2004, 2021


Washindi wa pili (1): 2011


NGAO YA JAMII


Mabingwa (8): 2001, 2010, 2013, 2014, 2015, 2021,2022


Washindi wa pili (6): 2002, 2005,2013,2009, 2011, 2016, 2017


MICHUANO YA KLABU YA CECAFA


Mabingwa (5): 1975, 1993, 1999, 2011, 2012


Washindi wa pili (3): 1976, 1986, 1992.



View attachment 2415065
Klabu ya Soka ya Young African Sc ikisherehekea walipotwaa Kombe la Nbc premium league (2021- 2022).



View attachment 2415066
Klabu ya Soka ya Young African Sc ikisherehekea walipotwaa Taji la Washindi wa Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC).
(2021- 2022).


View attachment 2415067
Klabu ya Soka ya Young African Sc ikisherehekea walipotwaa Taji la Ngao ya hisani (2021- 2022).


View attachment 2415087
Ratiba ya Michezo ya Ligi Kuu ya Young African Sc ya 2021/22.


Follow this thread for team updates!
Thank you.
 
Back
Top Bottom