Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Mi naonaga kama ndo ingekuwa poa kama inavyofanyika kwenye zile Special Thread za timu za Ulaya.Wakuu hivi ni kwanini wakati wa mechi tusifanye majadiliano humuhumu badala ya kusubiri uanzishwe uzi mmoja ndio makolo nao waanze kutukana.