Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Skudu na Guede wanacheza namba moja?
Skudu na Okrah una mchagua nani?

Skudu na Guede wanacheza namba moja?
Skudu na Okrah una mchagua nani?
apo kocha alimpanga musonda winga na guede mbele ndio nikajisemea ivo, kwa skudu na okrah wote kwangu fresh wanavitu ambavyo napenda kuviona kwa winga aanze yeyote ila sio guede pale mbele ni bora tusicheze na striker tu na magoli yataingia km kawaida kwa uchezaji wake haendani na kasi ya yanga yule jamaa.
 
NAPENDA kujua kama yanga imewahi kuingia hatua ya robo fainali Kwa mashindano ya klabu bingwa mara ngapi , na ni miaka ipi? Asante
Yanga ndio Timu ya kwanza kuingia Robo Fainali CAF na hii ndio mara ya Tatu ilifanya hivyo mara mbili mfululizo mwaka 1969 na 1970 kwa Takwimu za Gharib Mzinga Pale Azam TV!!
 
Mshike huyooooo
1000027489.jpg
 
Kikosi cha Dar es Salaam Young Africa.

kutoka kushoto juu Salum Kabunda Ninja, Conatantino Kimanda, Nyanda Steven Nemes, Keneth Mkapa na Seleman Mkati.

Walio chuchumaa kutokea kushoto Chini. Ni Nicko Bambaga, Sekilojo Chambua, Edibily Jonas Lunyamila, James Tungaraza na Striker Said Mwamba Kizota.

IMG_0133.jpeg
 
Mtu mfupi anaitwa Marcello Allender injini ya Mamelodi huyo anaamua timu iende kwa mwendo na speed gani wafumbe macho au warudi reverse 🔥 😆🙆🏽‍♂️
IMG-20240324-WA0614.jpg
 
Haya ndio mambo gan tena yaan Azizi key na Diarra mpka Leo hawaripoti kambini?
Hii haikubaliki
 
Unakikumbuka kikosi hichi?

1. Khamis Kinye
2. Yussuf Ismail Bana
3. Ahmed Amasha
4. Fred FedEx Minziro
5. Charles Bonfas Mkwasa
6 Juma Mkambi
7.
8 Sakilojo Chambua
9 Abeid Mziba
10. Makumbi Juma
11. Mohd Hussen Daima.

Wakati Lunyamila yupo biashara ya Shinyanga
Constantine kimamda yupo kwao Rwanda
 
Back
Top Bottom