Yanga hatuna moango wa kuifufua hiyo michezo tena,Unajua maana ya Sports Club? Hiyo michezo yote Yanga imecheza huko nyuma so huwezi jua kama wataifufua tena, moja ya mabondia waliochezea Yanga ni Makongoro Nyerere.
Unajua maana ya Sports Club? Hiyo michezo yote Yanga imecheza huko nyuma so huwezi jua kama wataifufua tena, moja ya mabondia waliochezea Yanga ni Makongoro Nyerere.
Ndiyo..... Nyerere hakuwabeba kabisa wanae. Huyu alikuwaga msela msela hivi, akapelekwa jeshini na akawa bondia anabondwa ukumbini baba prezdaa.Huyu huyu RC....? Baba ake enzi hizo Rais alimruhusu..?
Sasa hivi ndo wanaonewa huruma na viongozi waliopo.Huyu huyu RC....? Baba ake enzi hizo Rais alimruhusu..?
You never know, acha ikae hovyo2.Yanga hatuna moango wa kuifufua hiyo michezo tena,
Utoto raha sana.Watoto wa siku hizi ujuaji mwingi sana.
Wakiona jambo la watu hawaulizi kwanza mbona hili liko hivi.
Wasisahau kuuchomeka mwiko hapo nyuma yao....😂😂Hii logo kusema na ukweli imekaa kizamani sana.kuna muda nikiangalia huwa najiuliza hivi yanga inamiliki mabondia wa ngumi na vilabu vya netball? Jibu ni hapana yanga inamiliki timu ya mpira ya wanaume na wanawake tu sasa hao wengine wanafanya nini hapo..pia huo mkanda hapo chini kama vile nembo ya shule ya msingi ,ebu tuwaige simba na azam katika hili .logo sio sheria anytime can be changed
Naomba dukuduku hili limfikie Engineer Hersi
View attachment 2774994
Wale Arsenal wana mtutu je wako vitani au wanawatisha washabiki.Watoe na hilo limwenge hapo kwenye logo, limwenge ni ushirikina!
Hii logo kusema na ukweli imekaa kizamani sana.kuna muda nikiangalia huwa najiuliza hivi yanga inamiliki mabondia wa ngumi na vilabu vya netball? Jibu ni hapana yanga inamiliki timu ya mpira ya wanaume na wanawake tu sasa hao wengine wanafanya nini hapo..pia huo mkanda hapo chini kama vile nembo ya shule ya msingi ,ebu tuwaige simba na azam katika hili .logo sio sheria anytime can be changed
Naomba dukuduku hili limfikie Engineer Hersi
View attachment 2774994
Yanga ni Sports Club, siyo Footbal Club.Hii logo kusema na ukweli imekaa kizamani sana.kuna muda nikiangalia huwa najiuliza hivi yanga inamiliki mabondia wa ngumi na vilabu vya netball? Jibu ni hapana yanga inamiliki timu ya mpira ya wanaume na wanawake tu sasa hao wengine wanafanya nini hapo..pia huo mkanda hapo chini kama vile nembo ya shule ya msingi ,ebu tuwaige simba na azam katika hili .logo sio sheria anytime can be changed
Naomba dukuduku hili limfikie Engineer Hersi
View attachment 2774994
Wewe ni Mangungu?Yanga hatuna moango wa kuifufua hiyo michezo tena,
Tabia zenu vijana wa sasaNa Slogan pia ibadilike maana vijana wa sasa na zamani wana tofautiana
Sports Club ndiyo inayoendesha hiyo Football ClubMwanzo ilikua ni Sports Club
Ila sasa ni Football Club , Mleta mada una HOJA
Na kanuni za FIFA ,inatambua Football Club
Kanuni za FIFA hakuna sports club, ni football clubSports Club ndiyo inayoendesha hiyo Football Club
Kuna watu ukiwadharau hupati dhambi. Hata wewe unaruhusiwa kuwadharau.Yanga na simba, wote kwa pamoja wanatakiwa kubadilisha Katiba zao. Maana mpaka leo hivi vilabu vinatambulika kama vilabu vya michezo (Sports clubs), badala ya vilabu vya mpira wa miguu (yaani Football Clubs).
Kwa hiyo wakishinikizwa kubadilisha hizo Katiba zao, na nembo za timu zao pia (na hasa hiyo nembo ya Yanga), nazo zitabadilika.
NB:- huu uzi ni mzuri sana kwa ajili ya majadiliano. Ni bahati mbaya umevamiwa na baadhi ya watu wazima wenye akili za kitoto.