Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia


Yani
Ameniumiza sana.Rip baby
 
Juzi nilimuona escape one alikuwa na akina ray wanakunywa vzur, huyo dogo nasikia alikuwa kalewa that's y alipat ajal

Binamu hydary ashawahi kutoka na penny zamani mh source yake ya hela mh
 
Hydar si ndio yule dogo mwenye hydary plaza Na Mali nyingi sana alizoruthishwa lk anaziendeleza vizuri? Naona kama wanafanana wasije kuwa ndugu? Kama Ndugu kweli hao ni Mabilionaire Wacha Lemutuz a Lick A.s.s zao....

Si hydary huyo. .marehemu mwanae hydary kavira wa mwananyamala hao na marehemu mitkasi yao kuwasafisha makorongwee wa kilami na madini feki. ..hydary kasimama kipakee ila Jimmy haikuwa kivile kipesa kawaida sana,instagramically alikuwa tajiri wa picha mnato alizokuwa anaweka. .. sema alikuwa mtu smart na pesa ya kulipia bills. .
 

Oooh Nikajua Le Bilionaire Hydery Plaza ....
 
Huyo mara ya mwisho alikuwa bar ya Amsterdam iliyopo mbezi beach waliokuwa naye wanasema alikuwa tungi sana.
R.i.p jimmy boy

Sasa kwa nini walimruhusu aendeshe mwenyewe wakati waliona hali yake mbaya?
 
Usiongopee Hii Ndege Si Yakee...

Huyu Mzungu Na Hii Ndege Namjua Vizuri Sanaa Na Huwa Anakodisha Au Kusafirisha Abiria...

"if you want to hide something from African, put it in a book"
 
Tanzania mabilionea ni wawili tu, wengine ni milionea ambao ni wachache pia. Afu wanafata lakionea na bukuonea

Mkuu tanzania mabiliona wako utitiri interm of shillings bt in US Dollar ndio wawili tu Dewji and Rostam wana 1b
 

First hand information au na we umesikia mahali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…