Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Atakuja kujibu zikifika page 10!!!ha ha Le mutuz ni balaa,Btw hivi unajua kwamba ni first born wa Malecela?ndio utajua kuwa Yule jamaa hafanani na umri wake!Huwa anadai anywi pombe

Yule anaye gombea Urais sio dada yake?
 
Inaonekana wewe ni tegemezi ☺

Hapana bali ni kwamba ninaamini sana katika kusaidia wahitaji hasa wajane na yatima na kwa kufanya hivyo nimekua nikibarikiwa zaidi ya ninavyostahili, jaribu ujionee.
 
ni msiba mkubwa sana maana yeye ndiye alikuwa anadhamini asilimia 90 ya bongo movies ambazo zinasifika duniani kwa ubora,dah sasa sijuii itakuwaje,halafu kumbe marehemu ana nyumba tatu New york city na hotel ya kitalii zanzibar
RIP bilionea
 
MI ndo nipo uku nakodisha gari kama la diamond alilopewa na zari nikauzie sura msiba wa billionare mwenzangu, uvae vzur nikupitie usije kuniabisha, ikiwezekana azima, maana mie nimeazima hadi boxer apa nkauzie sura


usijali binam je mawani makubwa umenichukuliaaa
 
Rest in peace to Aaliyah Rest in peace to Left Eye Jimmy I'll see ya Just as soon as I die
 
ni msiba mkubwa sana maana yeye ndiye alikuwa anadhamini asilimia 90 ya bongo movies ambazo zinasifika duniani kwa ubora,dah sasa sijuii itakuwaje,halafu kumbe marehemu ana nyumba tatu New york city na hotel ya kitalii zanzibar
RIP bilionea

Tz kuna sehemu inaitwa New York city?..mi mgeni???
 
Haujitambui wewe kaa kimya usije ukajitafutia laana bure..

Mtu kusaidia yatima na wajane ni maamuzi binafsi na si lazima atundike magazetini. Pia kuna wengi tu wenye uwezo wasio saidia mayatima ingawa wanasifiwa kila siku kwa kushiriki katika maswala mengine ya kusaidia jamii, kwa hiyo mtu kusema kuwa kusaidia yatima ni swala binafsi ni sahihi kwani hakuna sheria inayombana mtu kufanya hivyo na haina maana usipowasaidia basi husaidii jamii inayohitaji msaada.
 
Yeah nimeisikia..so marehemu ana nyumba 3 USA???

yes sir na private jet ndo ilikuwa inamaliziwa kuwa personalised ,anytime itatua bongo,sasa nahisi bongo movie wataitumia ku shoot blockbusters zao
 
yes sir na private jet ndo ilikuwa inamaliziwa kuwa personalised ,anytime itatua bongo,sasa nahisi bongo movie wataitumia ku shoot blockbusters zao

Duuu..ahsante kwa taarifa
 
Back
Top Bottom