Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Babu kikevi kutumia yeye kama yeye sidhani...kwa akili zake ana hangover za kurithi tu.......
Teh Teh sipati picha angekuwa ana vuta bangi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu kikevi kutumia yeye kama yeye sidhani...kwa akili zake ana hangover za kurithi tu.......
Atakuja kujibu zikifika page 10!!!ha ha Le mutuz ni balaa,Btw hivi unajua kwamba ni first born wa Malecela?ndio utajua kuwa Yule jamaa hafanani na umri wake!Huwa anadai anywi pombe
Inaonekana wewe ni tegemezi ☺
hhhhhaaaa sheeeedah hiyooo aiseee
Kwenye msiba huend? Twende tukapige picha za instagram
MI ndo nipo uku nakodisha gari kama la diamond alilopewa na zari nikauzie sura msiba wa billionare mwenzangu, uvae vzur nikupitie usije kuniabisha, ikiwezekana azima, maana mie nimeazima hadi boxer apa nkauzie suranajiandaaa nani kasema napitwaaaa mieeee
Hivi kukodi helicopter mpaka A town inagharimu kiasi gani?
Namjua bhana, juzi tulikuwa nae kibo tegeta, na picha tukapiga jaman loh
MI ndo nipo uku nakodisha gari kama la diamond alilopewa na zari nikauzie sura msiba wa billionare mwenzangu, uvae vzur nikupitie usije kuniabisha, ikiwezekana azima, maana mie nimeazima hadi boxer apa nkauzie sura
ni msiba mkubwa sana maana yeye ndiye alikuwa anadhamini asilimia 90 ya bongo movies ambazo zinasifika duniani kwa ubora,dah sasa sijuii itakuwaje,halafu kumbe marehemu ana nyumba tatu New york city na hotel ya kitalii zanzibar
RIP bilionea
Tz kuna sehemu inaitwa New York city?..mi mgeni???
kuna nchi inaitwa USA ulishawahi kuisikia? halafu usije ukasema ni usa river Arusha
Haujitambui wewe kaa kimya usije ukajitafutia laana bure..
Yeah nimeisikia..so marehemu ana nyumba 3 USA???
yes sir na private jet ndo ilikuwa inamaliziwa kuwa personalised ,anytime itatua bongo,sasa nahisi bongo movie wataitumia ku shoot blockbusters zao
Tuwekee picha mkuu! Nasikia na wewe ni lakionaire mkuu?!
usijali binam je mawani makubwa umenichukuliaaa