Yu wapi Hawa Ghasia? Mwanamke mwenye tashtiti kama zote

Hawa mtoto wa Ghasia?hata huwa sipendi kulisikia hili jina, alikuwa ni ghasia haswa, natamani apotelee huko huko, alijipa uungu mtu enzi zake, l

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hawa mtoto wa Ghasia?hata huwa sipendi kulisikia hili jina, alikuwa ni ghasia haswa, natamani apotelee huko huko, alijipa uungu mtu enzi zake, l

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
She was a saddist and many people suffered because of her na alikuwa na udini komesha pale utumishi yeye na Makonda/ sabaya ni sawa tu Kwa matendo maovu.
 
Ndo maana nimesema beauty is relative,wew unamwona mzuri lakini kwa mwingine anamwona wa kawaida sana, ni hivyo tu kiongozi
basi sawa mkuu, kwahiyo kwa mwono wangu na wengine niwajuao tunamjua kama mrembo sana
 
Haya kiongozi naona unapambana ili usijione kuwa upo peke yako ktk hilo haaaahaaaha hatari
basi sawa mkuu, kwahiyo kwa mwono wangu na wengine niwajuao tunamjua kama mrembo sana
 
She was a saddist and many people suffered because of her na alikuwa na udini komesha pale utumishi yeye na Makonda/ sabaya ni sawa tu Kwa matendo maovu.
Duuh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…