Yu wapi Hawa Ghasia? Mwanamke mwenye tashtiti kama zote

haya ndio madhara ya kuwapa watu nyadhifa kishikaji kishikaji na si kwa kutumia uwezo wao kiakili na utendaji....ndio maana tunaingi kwenye hizi shida...
 
Na kipindi cha Ngosha alikuwa anasonywa na nani?
 
Hawa Ghasia ni mtu mwenye msimamo thabet uwe msimamo huo ni sahihi au laa!

Tabia hii karithi kwa Marehem Mzee wake

Waliosoma nae Mzumbe watakueleza heka heka zake tangu akiwa Huko, mliomjua kuanzia awamu ya Nne mnaweza mkadhan tabia hiyo kaanzia wakati wa JK

Huyu alikosoa hata Utawala wa JPM tena kaukosoa Bungeni na hakuwahi kupiga magoti hadi akapotezewa Ubunge
Kwny NEC alipasuka kweli kweli mbele ya wasiotegemewa kukosolewa uso kwa uso
 
Kumbe Mama anaujasiri uliowashinda akija Nappe walioenda kuomba radhi na jua kali
 
ujasiri wa kupigwa chale za mat@ko kwa mganga wa kienyeji au?
 
UNauliza yule mwenye sura yenye pua panaaa! Havutii usoni na elimu ni duni sana! Kichwani ni boga.
 
Shikamoo mtaalamu wa Dawasa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…