Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,882
Unamaanisha anrudisha mpira kwa kipa,kweli kuzaa huku.Nimejikuta namkumbuka NgwearNi kweli yupo Moro kwa wazazi wake
Kwa hiyo bado yuko mjini hapo hapo hakupelekwa huko kijijini ambako
Hata mimi sijui. Ila ni jamaa yangu wa muda mrefuKwa hiyo bado yuko mjini hapo hapo hakupelekwa huko kijijini ambako iliagizwa apelekwe....basi jamaa atakuwa kitengo huyu.
Lile bata na ray c ilikuaje kuaje? Mi nikajua alikua na mpunga
Hapana. Kipindi kile ni mshindi mmoja tu wa kwanza alikuwa anapata pesa, na wengine walikuwa wanaondoka bila kitu. Mwisho alishika nafasi ya pili... inawezekana alipata deals mbali mbali baada ya hapo lkn sio pesa ya ushindi wa big brother.Lile bata na ray c ilikuaje kuaje? Mi nikajua alikua na mpunga
sababu ya kunifanya kuuliza Ni kwamba nilitembelea Arusha mwaka juzi nikiwa na mwenyeji wangu tunapita mitaa ya Philips kwa mbele mwenyeji wangu akaniambia angalia mwisho yulee, alikuwa anatembea pembezoni mean barabara zile njia za wapita kwa miguu, hi kitu nikakimbuka nikasema ngoja niulizie Mana, nilikua moja Kati ya watu waliokua wanamkubali sanaPia anakuwa Arusha Sana na shombeshombe mmoja anaitwaga balletto. Hiki kipindi Cha corona wazungu wamepungua ndo huwakuti kwenye clubs. Madem washamba BADO wanawapaparikia Sana wakitatizwa na rango yao[emoji851][emoji851][emoji851]
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Richard ndio alionyeshaga ubboho hadharani?[emoji16]Watanzania Walioshinda BBA na kupata Mamilioni ya Pesa ni RICHARD na IDRIS.
Uyo sio richie kweliAlikuwa boys boys tv1.
Ndio. Richard na Mpenzi wake Tatiana π€£π€£Richard ndio alionyeshaga ubboho hadharani?[emoji16]
π€£π€£π€£π€£π€£Yupo Morogoro
Hata Richard alishindaMwisho hakuwahi kushinda, aliyeshinda ni Idriss akakutana na VIP treatment kutoka kwa Wema.
πππHata sijui ni kwanini waTanzania huwa tunapenda kusikia habari mbaya za watu na kufurahia kana kwamba ni jambo la kupendeza......