Yu wapi yule Robert Amsterdam Wakili maarufu?

Yu wapi yule Robert Amsterdam Wakili maarufu?

Ila ccm inachowafanyia Wana chama wake Mungu anawaonya,yani mpaka mwanaume mzima na wajukuu anakunishwa nazi ,!! Shida Sana
Tatizo wana ccm wenyewe kama huyo wa kwanza ni ndugu yetu kipara kipya
 
Kazi kubwa ilishamalizika sasa unamtaka wa nini au unahitaji mume?
 
Anafanya marekebisho madogo kule ICC kwani mashitaka yamembadilika kidogo,yupo aliyeondolewa na wapo waliooongezwa, ikiwa ni pamoja na wewe.
 
huo ni wivu yaani umaskini wako unataka ulingane nye? mtachelewasana na mbowe wenu mwenyekiti wa milele eti anaongoza chama cha kidemocrasia
Wala si wivu, bali ni support kwa mpenda haki Burnaboy
 
PAUL MAKONDA YUPO WAPI???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Muueleze ulichomuitia kaacha kula!
IMG_20210601_071631.jpg
 
Nakuonea huruma sana kwa kutegemea misiba kama njia yako ya kujikimu
Napenyezewa hapa na watu wako wa karibu hali yako ya uchumi ni mbaya sana unashindia karanga za kuonja!
 
Anafanya marekebisho madogo kule ICC kwani mashitaka yamembadilika kidogo,yupo aliyeondolewa na wapo waliooongezwa,ikiwa ni pamoja na wewe.
Mwambie afanye haraka asisahau kupitia MIGA!
 
Back
Top Bottom